Mdude Nyagali: Lisu aliombwa kujiunga Chadema baada ya kuwatetea bila Malipo wanachadema waliokuwa Magerezani wakati wa Utawala wa Mkapa!

Mdude Nyagali: Lisu aliombwa kujiunga Chadema baada ya kuwatetea bila Malipo wanachadema waliokuwa Magerezani wakati wa Utawala wa Mkapa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kiongozi wa Chadema mkoani Songwe Mh Mdude Nyagali amesema Tundu Lisu aliombwa kujiunga Chadema baada ya kuwatetea Bila Malipo wanachadema waliokuwa Magerezani wakati wa Utawala wa Mkapa

Lisu aliwatetea Bure wanachadema wengi mkoani Mara ndio Uongozi ukaona Roho yake ya ukarimu na kumuomba awe Mwanachama wa Chadema

Ahsanteni Sana 😃
 
1000325753.jpg
 
Back
Top Bottom