Mdudu gani huyu?

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,580
Reaction score
1,773
...
 

Attachments

  • IMG_20230704_234653_767.jpg
    125 KB · Views: 23
Weka choo chako katika mazingira safi.

Sijui jina rasmi. Nawajua kwa jina la kunya kunya.

Hutokea haswa choo kinavyojaa. Hao wanahusika kuvunja vunja mavi. Sasa choo kikijaa wanakuwa kwa juu. Wanatoka kupiga misele. Nadhani harufu ya nya zinakuwa kali.
 
Karibu Kuna mifugo yah ngurue
 
Nyumba yako/choo ni chafu hadi imeanza kutoa funza.
Ila huku kwetu mpigamiti hiyo ni mboga na inafuta kama unavyoona senene...πŸ˜‹
 
Ni aina ya funza hupatikana sehemu zenye uchafu jalalani au chooni
 
Nyumba yako/choo ni chafu hadi imeanza kutoa funza.
Ila huku kwetu mpigamiti hiyo ni mboga na inafuta kama unavyoona senene...πŸ˜‹
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ€£πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜πŸ˜†πŸ˜†Hata Kule Kipapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…