Mdumange uwe mdundo wa Uzalendo!

Una hoja nzuri kuhusu Midundo ya Kiasili, hususani wa Ngoma Asilia kama
Mdumange kutumiwa katika hafla mbali mbali?

Utumiaji wa Midundo ya Ngoma asilia , kweli, ni Heshima. Sio tu kwa Jamii na Kabila husika bali kinaonyesha kujali na kuheshimu Mila na Desturi za Muafrika. Mtanzania ambaye ni mjumuiko wa Makabila makubwa Duniani.

Kwa uhalisia, we are a natural conforming- "The, United States-people's of Afrika"


Rehema zikufikie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…