Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Sijui utasemaje na wale wanotumia midundo ya reggae, ambayo husifika na kuhusishwa na uvutaji wa bange.?Tanga inasifika kwa uasherati
ApprovedKatika kuonyesha heshima Kwa mkoa wa Tanga, kutoa Mawaziri 4 (Makamba, Mwana FA, Ummy na Aweso) basi inafaa Ngoma ya Mdumange ipewe heshima ya kuwa mdundo wa Uzalendo. Asante
View attachment 2535212
Tanga kitovu cha mapenziKatika kuonyesha heshima Kwa mkoa wa Tanga, kutoa Mawaziri 4 (Makamba, Mwana FA, Ummy na Aweso) basi inafaa Ngoma ya Mdumange ipewe heshima ya kuwa mdundo wa Uzalendo. Asante
View attachment 2535212