Me mtoto wa mwema japo cna undugu said

Me mtoto wa mwema japo cna undugu said

Wizobaby

Member
Joined
Dec 3, 2011
Posts
41
Reaction score
8
Taratbu jaman mabomu vrungu na smg zote nimeziacha nje nimekuja kama raia mwema me mgen wenu nahitaji sapot yenu nahtaj wenyej wakunitembeza kila kona na mtaa wa jf axanten
 
Taratbu jaman mabomu vrungu na smg zote nimeziacha nje nimekuja kama raia mwema me mgen wenu nahitaji sapot yenu nahtaj wenyej wakunitembeza kila kona na mtaa wa jf axanten
Karibu sana jamvini afande jamvini. Msubiri Globu atakutembeza kila kona ya mtaa wa jf, na kukupa muongozo.
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana jamvini, kabla sijakutembeza naomba usome JF RULES.
 
Karibu sana, ila huku JF tunasema Ahsanteni na sio axanteni
 
Back
Top Bottom