Me ni guest humu ndani naombeni karibu zenu banaaaa

Me ni guest humu ndani naombeni karibu zenu banaaaa

karibu sana. Lakini hii siyo sehemu yake ya kukarbisha. Pia acha kuandika kihuni humu siyo fesibuku
 
Tafadhali humu ujitolee na wakutolee kafara "Kunafaida zake na kuna Hasara zake" pokea mazuri mabaya yasuse !! karibu sana pamoja JF
 
Fungua sasa hilo jicho, pole kwa kupiga chabo muda mreeeeefu.
lakini tuthibitishie kuwa wewe si miongoni mwa waliopewa simu na Januari makamba uje kufanya vurugu huku,
 
Back
Top Bottom