Baraka mungure Member Joined Apr 10, 2013 Posts 71 Reaction score 14 May 1, 2013 #1 Napenda kuwasalim wana mahusihano. Ntakuwa pamoja nany katika ushaur nk.npokeeni kwa pamoja kwa umoja
Napenda kuwasalim wana mahusihano. Ntakuwa pamoja nany katika ushaur nk.npokeeni kwa pamoja kwa umoja
Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Joined Apr 22, 2012 Posts 15,118 Reaction score 16,485 May 1, 2013 #2 Karibu mwayego, mizigo yako iko wapi?
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 May 1, 2013 #3 Karibu sana JF...
Baraka mungure Member Joined Apr 10, 2013 Posts 71 Reaction score 14 May 1, 2013 Thread starter #4 Ucjal kuhusu mizigo utaishudia mwenyewe.cjui ata km itaenea humu
Baraka mungure Member Joined Apr 10, 2013 Posts 71 Reaction score 14 May 1, 2013 Thread starter #5 watu8 said: Karibu sana JF... Click to expand... asante sana
miss strong JF-Expert Member Joined Jul 4, 2012 Posts 7,012 Reaction score 3,700 May 1, 2013 #6 Karibu sana....upo mahal salama.
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 May 1, 2013 #7 karibu sana mkuu nipo njiani naelekea #KFCTanzania ..
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 May 1, 2013 #8 miss strong said: Karibu sana....upo mahal salama. Click to expand... duu hili swali ni hatari tupu jeiefu..
miss strong said: Karibu sana....upo mahal salama. Click to expand... duu hili swali ni hatari tupu jeiefu..
Emma. JF-Expert Member Joined Jun 25, 2012 Posts 19,932 Reaction score 5,563 May 1, 2013 #9 karibu sana mgeni
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 May 1, 2013 #10 Baraka mungure said: Napenda kuwasalim wana mahusihano. Ntakuwa pamoja nany katika ushaur nk.npokeeni kwa pamoja kwa umoja Click to expand... karibu ngoja nikupe na like ya kwanza enheeee...
Baraka mungure said: Napenda kuwasalim wana mahusihano. Ntakuwa pamoja nany katika ushaur nk.npokeeni kwa pamoja kwa umoja Click to expand... karibu ngoja nikupe na like ya kwanza enheeee...
miss strong JF-Expert Member Joined Jul 4, 2012 Posts 7,012 Reaction score 3,700 May 1, 2013 #11 ndetichia said: duu hili swali ni hatari tupu jeiefu.. Click to expand... Swali gn?
Blaki Womani JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 11,229 Reaction score 13,442 May 1, 2013 #12 karibu sana Katavi mwandalie mgeni soda Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Baraka mungure Member Joined Apr 10, 2013 Posts 71 Reaction score 14 May 1, 2013 Thread starter #13 Blaki Womani said: karibu sana Katavi mwandalie mgeni soda Click to expand... Asenten sana kwa umoja wenu ninendlea kufurah sana Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Blaki Womani said: karibu sana Katavi mwandalie mgeni soda Click to expand... Asenten sana kwa umoja wenu ninendlea kufurah sana
N Nicotompa Member Joined Apr 28, 2013 Posts 66 Reaction score 13 May 1, 2013 #14 Samahani hv we mgeni ni wa kike au wa kiume?hapa kwetu tuna mabinti nyie vijana hamkawii kujimilikisha vibinti vyetu bado vinasoma.
Samahani hv we mgeni ni wa kike au wa kiume?hapa kwetu tuna mabinti nyie vijana hamkawii kujimilikisha vibinti vyetu bado vinasoma.
Baraka mungure Member Joined Apr 10, 2013 Posts 71 Reaction score 14 May 1, 2013 Thread starter #15 ndetichia said: karibu sana mkuu nipo njiani naelekea #KFCTanzania .. Click to expand... Thanks together
ndetichia said: karibu sana mkuu nipo njiani naelekea #KFCTanzania .. Click to expand... Thanks together
JOMAM JF-Expert Member Joined Aug 6, 2012 Posts 330 Reaction score 139 May 1, 2013 #16 Blaki Womani said: karibu sana Katavi mwandalie mgeni soda Click to expand... Humu ungempa kinga ili imsaidie huko mbele watakapoanza kupm
Blaki Womani said: karibu sana Katavi mwandalie mgeni soda Click to expand... Humu ungempa kinga ili imsaidie huko mbele watakapoanza kupm
Arushaone JF-Expert Member Joined Mar 31, 2012 Posts 15,194 Reaction score 13,426 May 1, 2013 #17 Blaki Womani said: karibu sana Katavi mwandalie mgeni soda Click to expand... Yfu mambo! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Queen Kan JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 5,226 Reaction score 8,961 May 1, 2013 #18 Karibu sana jaman, nakupenda
SUZANE JF-Expert Member Joined Oct 26, 2010 Posts 740 Reaction score 500 May 1, 2013 #19 karibu ila kuna watunguaji humu kuwa makini lol
Ablessed JF-Expert Member Joined Mar 19, 2013 Posts 4,616 Reaction score 3,501 May 1, 2013 #20 Karibu sana jamvini. Je unatumia kinywaji gani ? Si unajua mgeni lazima kwanza umpe kinywaji pindi umkaribishapo nyumbani.
Karibu sana jamvini. Je unatumia kinywaji gani ? Si unajua mgeni lazima kwanza umpe kinywaji pindi umkaribishapo nyumbani.