Me ni new member (nipokeeni)

karibu sana ila hilo ndo jina lako halisi?
kama ndo hivyo safi sana maana wengine humu hizi avata sio kabisa
halafu jinsia yako?
 
karibu ila kuna watunguaji humu kuwa makini lol

asante sana kwa kunkumbusha hlo coz mtandao ming ya kjamii ndo ishuinaendlea umenkumbusha htoria ya mabint wanajfanya wakimbz wa Dakar senegal
 
Mgeni umekuja kwa ngorika au chai maharage?ila karibu sana,tunawapenda wageni
 
Wana mahusiano ndo kina nani? inamaana unakamba miguuni anywayz karibu
 
N ways karibu sana mgeni. Wambie wakina Mzabzab wakupe mbili baridi narudi kuzilipia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…