kipindi tunaanza mapenzi
alinionyesha sana love lakini sasa yupo chuo inafikia kiasi ananijibu
hovyo,kunitukana,nikimwambia kitu haniskizi yanapomuharibikia anataka
tusolve... mapenzi yetu yamekua ya kugombana kila wakati me nimechoka
jana nikamwambia ukweli kwamba nimeshindwa... ila nampenda sana
yani
Oooh mdogo wangu,mapenzi kizungumkuti...kila mtu ana namna ambayo mapenzi yamemkatili...kama umekuwa victim mara zote na unakiri unampenda endelea kuvumilia eventually ataona upendo wako,beside unaweza kukaa kando na kuangalia maisha yako kwa kua mapenzi ni jambo moja katika mengi ambayo yanasababisha maisha yasonge...Regards!