Kwema wadau?
Jamani mimi nlikuwa napitia web ya heslb kuangalia sifa za waombaji wa mkopo nikakutana na hayo maneno. Kwamba muombaji atafanyiwa "means testing" sikuelewa hembu nisaidieni wanachomaanishakwa kuwa nataka kuomba mwaka huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.