Mahitaji
1) Nyama ya kusaga 1/2 kg
2) Kitunguu thomu 1 teaspoon
3) Tangawizi 1 teaspoon.
4) Bizari ya pilau 1 teaspoon
5) Curry powder 1 teaspoon
6) Pilipili manga..1 teaspoon
7) Chumvi kiasi
8) Karot 2....kata ndogo ndogo
9) Viazi 2.....kata vidogo vidogo kama carrot
10)Unga vikombe 4
11) Baking powder 1 tablespoon
12) Siagi 8 tablespoon
13) Mafuta 3 tablespoon
14) Kitunguu maji....kata ndogo ndogi
15) Pilipili mboga 1...kata ndogo ndogo
16) Mayai 2
Namna ya kutaarisha
1) Weka mafuta yakipata moto weka kitunguu maji ,saumu na tangawizi pamoja na nyama....koroga kwa dakika 5
2) Weka pilipili manga,curry powder,chumvi na bizari ya pilau..koroga vizuri vichanganyike
3) Weka maji kikombe 1.5...
4) Weka karot, pilipili mboga na viazi..acha vichemke hadi nyama ikauke....weka pembeni
5) Changanya unga pamoja na chumvi kiasi,baking powder,siagi na maji kidogo kama unavofanya chapati...
6) Kanda unga kwa dakika 5-10 ili ulainike.
7) Tengeneza viduara vidogo vidogo..
8) Sukuma viduara kama chapati then chukua bakuli na kata ili utengeze duara...
9) Weka nyama juu yake...
10) Pakaa mayai kwenye kona na ufunge meat pie yako...na chukua uma uchome chome pembeni
11) Fanya hivo hadi kumaliza...pakaa mayai juu yake kwa kutumia brush
12) Weka kwenye oven 300° hadi ziwe light brown
Meat pie tayari kwa kuliwa...
1) Nyama ya kusaga 1/2 kg
2) Kitunguu thomu 1 teaspoon
3) Tangawizi 1 teaspoon.
4) Bizari ya pilau 1 teaspoon
5) Curry powder 1 teaspoon
6) Pilipili manga..1 teaspoon
7) Chumvi kiasi
8) Karot 2....kata ndogo ndogo
9) Viazi 2.....kata vidogo vidogo kama carrot
10)Unga vikombe 4
11) Baking powder 1 tablespoon
12) Siagi 8 tablespoon
13) Mafuta 3 tablespoon
14) Kitunguu maji....kata ndogo ndogi
15) Pilipili mboga 1...kata ndogo ndogo
16) Mayai 2
Namna ya kutaarisha
1) Weka mafuta yakipata moto weka kitunguu maji ,saumu na tangawizi pamoja na nyama....koroga kwa dakika 5
2) Weka pilipili manga,curry powder,chumvi na bizari ya pilau..koroga vizuri vichanganyike
3) Weka maji kikombe 1.5...
4) Weka karot, pilipili mboga na viazi..acha vichemke hadi nyama ikauke....weka pembeni
5) Changanya unga pamoja na chumvi kiasi,baking powder,siagi na maji kidogo kama unavofanya chapati...
6) Kanda unga kwa dakika 5-10 ili ulainike.
7) Tengeneza viduara vidogo vidogo..
8) Sukuma viduara kama chapati then chukua bakuli na kata ili utengeze duara...
9) Weka nyama juu yake...
10) Pakaa mayai kwenye kona na ufunge meat pie yako...na chukua uma uchome chome pembeni
11) Fanya hivo hadi kumaliza...pakaa mayai juu yake kwa kutumia brush
12) Weka kwenye oven 300° hadi ziwe light brown
Meat pie tayari kwa kuliwa...