CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Wadau, habari za siku nyingi?
Naomba msaada wenu.
Nina idea ya kuanzisha hiyo bussiness
Nataka niwafuge mbuzi, kondoo, nguruwe, kuku (wa nyama wa kienyeji na kisasa), kuku wa mayai, bata wa kawaida, bata mzinga n.k. Nyama ya ng'ombe nitakuwa nanunua machinjioni nyingine itakuwa inatokana na ng'ombe kadhaa nilioweka stock n,k
MARKET: Is not a problem.
Naomba mnsisaidie kujua nifanyeje? Kwa sababu nahitaji niwe na:
At least:
(1)One pick up (hivi vi-SUZUKI vya wajapani vinatosha)g
(2)Gari moja ya kuweza kubeba uzito kuanzia tani 3-5 (vile vinavyoweza kubeba nyama, matunda, mbogamboga n.k - vyenye jokofu ndani yake).
(2)Container mbili zenye majokofu ambazo nitakuwa nahifadhia nyama na mbogamboga at a place of production and marketplace (hizi container inatakiwa ziwe na source ya umeme isiyozingua i.e solar au fuel generated)
Mnanishauri nifanye mambo gani mengine, vitu kama hivyo naweza kuvipata wapi au ni nani atanisaidia ku-design na namna ya kuanza ili ni-implement hii plan?
Thanks.
Naomba msaada wenu.
Nina idea ya kuanzisha hiyo bussiness
Nataka niwafuge mbuzi, kondoo, nguruwe, kuku (wa nyama wa kienyeji na kisasa), kuku wa mayai, bata wa kawaida, bata mzinga n.k. Nyama ya ng'ombe nitakuwa nanunua machinjioni nyingine itakuwa inatokana na ng'ombe kadhaa nilioweka stock n,k
MARKET: Is not a problem.
Naomba mnsisaidie kujua nifanyeje? Kwa sababu nahitaji niwe na:
At least:
(1)One pick up (hivi vi-SUZUKI vya wajapani vinatosha)g
(2)Gari moja ya kuweza kubeba uzito kuanzia tani 3-5 (vile vinavyoweza kubeba nyama, matunda, mbogamboga n.k - vyenye jokofu ndani yake).
(2)Container mbili zenye majokofu ambazo nitakuwa nahifadhia nyama na mbogamboga at a place of production and marketplace (hizi container inatakiwa ziwe na source ya umeme isiyozingua i.e solar au fuel generated)
Mnanishauri nifanye mambo gani mengine, vitu kama hivyo naweza kuvipata wapi au ni nani atanisaidia ku-design na namna ya kuanza ili ni-implement hii plan?
Thanks.