Endelea kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kama unadhani unamsaidia. Kaka P kwenye hili hata propaganda aliyojaribu haikufanya kazi. Lakini you are birds of the same feathers flock or fly.........Mayala keep it up. You are doing a great job for the wider interests of this beautiful country. Don't expect cheers and congrats from wicked people whose eyes see not beyond their parties interest.
Please be courageous, there are people who are watching and bebefiting from your valuable contribution.
Aluta continua
Kwani wewe ukiulizwa kwanini magufuli ashinde utasema nini?Ukiuliza wafuasi wa Lissu ni kipi kitamfanya Lissu ashinde, watakwambia Lissu ni jasiri sana.
Yani tz kumbe ukiwa jasiri tayari wewe ni Rais
Ukimwangalia Paschal, Bashiru, Polepole na Kitila Mkumbo unajua elimu yetu inaandaa makanjanja kabisa hutamani tena hata kusoma maana ni aibu kuwa na wasomi kama hawa niliowataja.Katika kipindi hiki cha msimu wa uchaguzi wapo baadhi ya waandishi au vyombo vya habari nchini, hutumika kama leso, leso ni miongoni mwa kitu muhimu katika kutoa uchafu mwilini ili uonekane msafi,
Hivyo, uchaguzi mkuu wa Oktoba baadhi ya wanasiasa, wanahabari na vyombo vyao ni msimu mzuri wa mavuno kwa kupitia migongo ya wanasiasa ambao wana uchu wa madaraka
Lakini pia ni wakati mwafaka kwa baadhi ya waandishi kutumia kalamu zao kwa kuwapotosha, kuwatia khofu au kuwatisha wasomaji ili mradi watimize yale ambayo wametumwa na anayewalipa,
Ukitaka kulijua hilo nenda kwa muuza magazeti asubuhi angalia vichwa vya habari, sikiliza Radio zetu na TV stations zilizokwisha kufanya biashara utauona ukweli wa kwamba uchaguzi ni fursa ya Mavuno kwa waandishi,
Anachokifanya Pascal sio kitu kigeni bali anajaribu kutumia mbinu za hadaa vile vile kama Salva alivyofanya na mwisho wa safari akawa Mkurugenzi pale Magogoni kwa mbwembwe nyingi tu lakini walipoingia aliowafitini Salva alitolewa kama kibaka fulani na hakuna hata mwandishi mmoja aliyenung'unika kwani walijua mchezo mchafu alioufanya huko nyuma
(Wakati wa uchaguzi mkuu wa Rais mwaka 2005, Salva uwa ni miongoni mwa waandishi waliokuwa wakiandika makala mbalimbali zinazoingia kwa undani katika kuwachambua wagombea wa kiti hicho.)
Uko sahihi mkuuKwani wewe ukiulizwa kwanini magufuli ashinde utasema nini?
Utakubali kusema kua aliwahi kuiba matrilioni kamfukuza na CAG wetu?
Unaweza kusema kama ni muuaji alitaka kumuua huyo jasiri bila faida atakayopata?
Je utakubali kesemakua amekataa kuajiri watoto wetu wamekaa nyumbani bila matumaini?
Je utakubali kusema kua kapoteza akina ben saanane wazazi wao wanalia bila mafanikio.
Ki ujumla itakubali kusema kama magufuli ni mropokaji asie jua mipangilio ya maneno?mtekaji muuaji mishahara ya wafanyakazi kajenga uwanja wa ndege chato?
Beberu ndio nani?Wanabodi,
Kuhusu Uchaguzi Mkuu wetu na ushindi wa kishindo wa JPM na CCM, huko nyuma niliwahi kutoa angalizo hili muhimu la kiusalama
Security alert kwa Serikali yetu, tuwe makini sana na Marekani: Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?
Kabla ya hapo, mara kadhaa vyombo vya habari vya kimataifa vya mabeberu, vimekuwa vikiandika makala za uongo na uzushi kuhusu Tanzania zikiwemo kumsema vibaya rais wetu Magufuli ikiwemo kumsingizia kuwa ni dikiteta na anaiendesha Tanzania kidikiteta, na mara zote, uzushi huu huwa haukanushwi, hivyo unaendelea kurudiwa na kurudiwa tena na tena.
Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka Ukweli!. Dawa ya Uongo ni Ukweli.
Uongo unaosemwa kumhusu Rais wetu Magufuli na nchi yetu Tanzania, usipuuzwe! Ukanushwe na ukweli usemwe!
Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe!
Leo nimekutana na makala hii katika mtandao wa kibeberu wa WPR, ambayo iliandikwa October 8 na mwandishi Sofia Naimam, ikizungumzia uchaguzi Mkuu wa Tanzania, Mabeberu hawa, kati ya wagombea wote 16 wa urais wa Tanzania, wao wakaamua kumhoji mgombea mmoja tuu, Tundu Lissu, na akawaambia anakwenda kushinda urais wa Tanzania, na wao wakaamini, hivyo sasa wanaandika makala za kututisha kuwa Tundu Lissu asipotangazwa mshindi, Tanzania hapatakalika!.
Watu wengine waliohojiwa kwenye makala hii ni Zitto Kabwe, Robert Amsterdam, Fatma Karume, Balozi wa Marekani,
Thabit Jacob,
Ili mwandishi kubalance story yake, akaandika kuwa ameitafuta Ikulu yetu na Tume ya Uchaguzi NEC, wote wamegoma kutoa ushirikiano, swali la kujiuliza ni kwanini mabeberu hawa, wazushe kuhusu Tanzania halafu waitafute Ikulu yetu na NEC, wakati the right mtu wa kutafutwa ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas?!.
Kwavile mimi ni mwandishi wa habari, na mchambuzi wa habari, news analysis, nitawachambulia makala hii kwa kueleza ukweli ni wapi mwandishi kasema kweli, wapi kasema uongo na wapi kaandika uzushi kwenye makala hii katika mtandao huu wa vyombo vya habari vya kibeberu.
Haiwezekani kila siku mabeberu hawa kutuzushia mambo ya uongo na uzushi kuhusu Tanzania na rais wetu, na sisi tunanyamaza tuu na kuunyamazia uongo na uzushi huu, huku tunao waandishi Watanzania wazalendo wenye uwezo wa kuukanusha, tunakuwa hatulitendei haki taifa letu, hatuwatendei haki, Watanzania. Tena ningewaomba Dr. Abbas na timu yake, kuwa more proactive kuzungumza mazuri ya nchi yetu na sio kusubiri watu watunge uongo na uzushi kisha ndio sisi tuje kujibu kwa kuwa reactive, kama ule uzushi wa juzi kati wa BBC Swahili kuhusu madini yetu. Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC?
Makala yenyewe ya uzushi ni hii, na chini ina wasifu wa jmwandishi, ila pia, mimi kama mwandishi, naomba pia nimtendee haki mwandishi wa makala hii, kwa kukiri, katika media zetu hapa Tanzania, tuna waandishi wachache sana wa kiwango hiki cha uandishi, na sina uhakika sana kama kwenye wasaidizi wa Dr. Abbas, anao watu wenye uwezo wa kupangua uzushi kama huu, japo namfahamu Dr.Abbasi yeye kama yeye anaweza, ila watu wake.
Kwa wale wenzangu na mimi, wa lugha yetu hii ya madafu, tuishie hapa, maana...
President John Magufuli hands in his nomination form to the chairman of the National Electoral Commission, in Dodoma, Tanzania, Aug. 25, 2020 (AP photo).Tanzania’s Opposition Fears Election Violence Because, Lissu Says, ‘We Are Winning’
Sophie Neiman Thursday, Oct. 8, 2020
Uchambuzi wangu, unafuatia, ili twende pamoja, nitaichambua para moja moja kwa kuonyesha ipi ni kweli, upi ni uongo na upi ni uzushi.
Karibuni
Paskali
Watanzania huwa na subri. Waanze wataona majeshi ya akiba yatakavyotokea. Waulize nduli wa Uganda au M21. Waje haoWanabodi,
Kuhusu Uchaguzi Mkuu wetu na ushindi wa kishindo wa JPM na CCM, huko nyuma niliwahi kutoa angalizo hili muhimu la kiusalama
Security alert kwa Serikali yetu, tuwe makini sana na Marekani: Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?
Kabla ya hapo, mara kadhaa vyombo vya habari vya kimataifa vya mabeberu, vimekuwa vikiandika makala za uongo na uzushi kuhusu Tanzania zikiwemo kumsema vibaya rais wetu Magufuli ikiwemo kumsingizia kuwa ni dikiteta na anaiendesha Tanzania kidikiteta, na mara zote, uzushi huu huwa haukanushwi, hivyo unaendelea kurudiwa na kurudiwa tena na tena.
Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka Ukweli!. Dawa ya Uongo ni Ukweli.
Uongo unaosemwa kumhusu Rais wetu Magufuli na nchi yetu Tanzania, usipuuzwe! Ukanushwe na ukweli usemwe!
Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe!
Leo nimekutana na makala hii katika mtandao wa kibeberu wa WPR, ambayo iliandikwa October 8 na mwandishi Sofia Naimam, ikizungumzia uchaguzi Mkuu wa Tanzania, Mabeberu hawa, kati ya wagombea wote 16 wa urais wa Tanzania, wao wakaamua kumhoji mgombea mmoja tuu, Tundu Lissu, na akawaambia anakwenda kushinda urais wa Tanzania, na wao wakaamini, hivyo sasa wanaandika makala za kututisha kuwa Tundu Lissu asipotangazwa mshindi, Tanzania hapatakalika!.
Watu wengine waliohojiwa kwenye makala hii ni Zitto Kabwe, Robert Amsterdam, Fatma Karume, Balozi wa Marekani,
Thabit Jacob,
Ili mwandishi kubalance story yake, akaandika kuwa ameitafuta Ikulu yetu na Tume ya Uchaguzi NEC, wote wamegoma kutoa ushirikiano, swali la kujiuliza ni kwanini mabeberu hawa, wazushe kuhusu Tanzania halafu waitafute Ikulu yetu na NEC, wakati the right mtu wa kutafutwa ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas?!.
Kwavile mimi ni mwandishi wa habari, na mchambuzi wa habari, news analysis, nitawachambulia makala hii kwa kueleza ukweli ni wapi mwandishi kasema kweli, wapi kasema uongo na wapi kaandika uzushi kwenye makala hii katika mtandao huu wa vyombo vya habari vya kibeberu.
Haiwezekani kila siku mabeberu hawa kutuzushia mambo ya uongo na uzushi kuhusu Tanzania na rais wetu, na sisi tunanyamaza tuu na kuunyamazia uongo na uzushi huu, huku tunao waandishi Watanzania wazalendo wenye uwezo wa kuukanusha, tunakuwa hatulitendei haki taifa letu, hatuwatendei haki, Watanzania. Tena ningewaomba Dr. Abbas na timu yake, kuwa more proactive kuzungumza mazuri ya nchi yetu na sio kusubiri watu watunge uongo na uzushi kisha ndio sisi tuje kujibu kwa kuwa reactive, kama ule uzushi wa juzi kati wa BBC Swahili kuhusu madini yetu. Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC?
Makala yenyewe ya uzushi ni hii, na chini ina wasifu wa jmwandishi, ila pia, mimi kama mwandishi, naomba pia nimtendee haki mwandishi wa makala hii, kwa kukiri, katika media zetu hapa Tanzania, tuna waandishi wachache sana wa kiwango hiki cha uandishi, na sina uhakika sana kama kwenye wasaidizi wa Dr. Abbas, anao watu wenye uwezo wa kupangua uzushi kama huu, japo namfahamu Dr.Abbasi yeye kama yeye anaweza, ila watu wake.
Kwa wale wenzangu na mimi, wa lugha yetu hii ya madafu, tuishie hapa, maana...
President John Magufuli hands in his nomination form to the chairman of the National Electoral Commission, in Dodoma, Tanzania, Aug. 25, 2020 (AP photo).Tanzania’s Opposition Fears Election Violence Because, Lissu Says, ‘We Are Winning’
Sophie Neiman Thursday, Oct. 8, 2020
Uchambuzi wangu, unafuatia, ili twende pamoja, nitaichambua para moja moja kwa kuonyesha ipi ni kweli, upi ni uongo na upi ni uzushi.
Karibuni
Paskali
Kwani 2020 kulikuwa na uchaguzi?Wanabodi,
Kuhusu Uchaguzi Mkuu wetu na ushindi wa kishindo wa JPM na CCM, huko nyuma niliwahi kutoa angalizo hili muhimu la kiusalama
Security alert kwa Serikali yetu, tuwe makini sana na Marekani: Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?
Kabla ya hapo, mara kadhaa vyombo vya habari vya kimataifa vya mabeberu, vimekuwa vikiandika makala za uongo na uzushi kuhusu Tanzania zikiwemo kumsema vibaya rais wetu Magufuli ikiwemo kumsingizia kuwa ni dikiteta na anaiendesha Tanzania kidikiteta, na mara zote, uzushi huu huwa haukanushwi, hivyo unaendelea kurudiwa na kurudiwa tena na tena.
Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka Ukweli!. Dawa ya Uongo ni Ukweli.
Uongo unaosemwa kumhusu Rais wetu Magufuli na nchi yetu Tanzania, usipuuzwe! Ukanushwe na ukweli usemwe!
Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe!
Leo nimekutana na makala hii katika mtandao wa kibeberu wa WPR, ambayo iliandikwa October 8 na mwandishi Sofia Naimam, ikizungumzia uchaguzi Mkuu wa Tanzania, Mabeberu hawa, kati ya wagombea wote 16 wa urais wa Tanzania, wao wakaamua kumhoji mgombea mmoja tuu, Tundu Lissu, na akawaambia anakwenda kushinda urais wa Tanzania, na wao wakaamini, hivyo sasa wanaandika makala za kututisha kuwa Tundu Lissu asipotangazwa mshindi, Tanzania hapatakalika!.
Watu wengine waliohojiwa kwenye makala hii ni Zitto Kabwe, Robert Amsterdam, Fatma Karume, Balozi wa Marekani,
Thabit Jacob,
Ili mwandishi kubalance story yake, akaandika kuwa ameitafuta Ikulu yetu na Tume ya Uchaguzi NEC, wote wamegoma kutoa ushirikiano, swali la kujiuliza ni kwanini mabeberu hawa, wazushe kuhusu Tanzania halafu waitafute Ikulu yetu na NEC, wakati the right mtu wa kutafutwa ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas?!.
Kwavile mimi ni mwandishi wa habari, na mchambuzi wa habari, news analysis, nitawachambulia makala hii kwa kueleza ukweli ni wapi mwandishi kasema kweli, wapi kasema uongo na wapi kaandika uzushi kwenye makala hii katika mtandao huu wa vyombo vya habari vya kibeberu.
Haiwezekani kila siku mabeberu hawa kutuzushia mambo ya uongo na uzushi kuhusu Tanzania na rais wetu, na sisi tunanyamaza tuu na kuunyamazia uongo na uzushi huu, huku tunao waandishi Watanzania wazalendo wenye uwezo wa kuukanusha, tunakuwa hatulitendei haki taifa letu, hatuwatendei haki, Watanzania. Tena ningewaomba Dr. Abbas na timu yake, kuwa more proactive kuzungumza mazuri ya nchi yetu na sio kusubiri watu watunge uongo na uzushi kisha ndio sisi tuje kujibu kwa kuwa reactive, kama ule uzushi wa juzi kati wa BBC Swahili kuhusu madini yetu. Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC?
Makala yenyewe ya uzushi ni hii, na chini ina wasifu wa jmwandishi, ila pia, mimi kama mwandishi, naomba pia nimtendee haki mwandishi wa makala hii, kwa kukiri, katika media zetu hapa Tanzania, tuna waandishi wachache sana wa kiwango hiki cha uandishi, na sina uhakika sana kama kwenye wasaidizi wa Dr. Abbas, anao watu wenye uwezo wa kupangua uzushi kama huu, japo namfahamu Dr.Abbasi yeye kama yeye anaweza, ila watu wake.
Kwa wale wenzangu na mimi, wa lugha yetu hii ya madafu, tuishie hapa, maana...
President John Magufuli hands in his nomination form to the chairman of the National Electoral Commission, in Dodoma, Tanzania, Aug. 25, 2020 (AP photo).Tanzania’s Opposition Fears Election Violence Because, Lissu Says, ‘We Are Winning’
Sophie Neiman Thursday, Oct. 8, 2020
Uchambuzi wangu, unafuatia, ili twende pamoja, nitaichambua para moja moja kwa kuonyesha ipi ni kweli, upi ni uongo na upi ni uzushi.
Karibuni
Paskali
Uchaguzi wa 2020 mbona mimi niliisha uzungumza vizuri kabisa hapa, ama unataka nirudie kuongea?.Kwani 2020 kulikuwa na uchaguzi?
kulikuwa na UCHAFUZIKwani 2020 kulikuwa na uchaguzi?