Mech ya Simba Vs Azam inaanza saa ngap ???

Mech ya Simba Vs Azam inaanza saa ngap ???

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Mwenye taarifa naomb aweke hapa,il nijiandae mapema kwenda kumshuhudia tukio kubwa na mhim katka soka la Tanzania
Karibun
 
Azam Fc, piga hao mbumbumbu fc! Hakuna timu hapo!!
 
Saa moja usiku Simba anamla dadake binamu.
Kaa utulie ucheki mpira wa kiufundi achana na mechi za mchongo.
 
Back
Top Bottom