ajila nje nje, iyo course ina upana mkubwa xana, vp unaenda xomea chuo gani? ??
nilifanya field kiwanda cha urafiki kuna engineer wa mechanical analipwa laki 3 kwa mwezi
sema chuo ulchopangwa make m mwenyew nmechaguliwa mech udsm
MBONA mm NIMEHITIMU MIAKA MITATU ILIYOPITA HADI LEO NASOTA KITAA MKUU.
sema chuo ulchopangwa make m mwenyew nmechaguliwa mech udsm
POLE baba MZIKI WA PALE DISCO NI NJENJE TU.
MASIALA YOTE ACHA KITAA
2tameet joh mnyepe
mkuu ulikuwa D ngapiyap mi utanikuta second yr pale
nitafute mkuu tuzungumze, mi nitakuwa mwaka wa pili pale kwa course hiyo hiyo2tameet joh mnyepe