Mechi 8 za Simba sc za kufa na kupona ligi kuu NBCPL

Mechi 8 za Simba sc za kufa na kupona ligi kuu NBCPL

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mechi 8 za Simba sc za kufa na kupona ligi kuu NBCPL
Snapinsta.app_438164370_987116263414247_7402876661259130743_n_1080.jpg
 
Hapo kuna pointi zisizopungua 5 mnyama ataziangusha. Simba vs Azam, Kagera Sugar vs Simba, Jkt vs Simba! Dah!! Apambanie hata nafasi ya 2 basi!!

Maana Azam hana nia nzuri msimu huu.
 
Kufa na kupona kubeba ubingwa au kusecure 2nd spot?
 
Back
Top Bottom