Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmm wao wana pesa hawawezi hayo ??Ukiona watu wananyweshwa supu ujue hizo ni nyama za kafara.
Mechi ya leo kinachotawala ni uchawi tu hakuna lolote!
Hawataki sifa za kulazimisha wanafanya jambo sahihiMmmmm wao wana pesa hawawezi hayo ??
Mbona kama unataka kulia? Safari ya kukusanya mataji ndio imeanza hivyo, nyinyi subirini taji la sold out na timu ilicheza vizuri mataji Yanga ndio inayakusanyamUkiona watu wananyweshwa supu ujue hizo ni nyama za kafara.
Mechi ya leo kinachotawala ni uchawi tu hakuna lolote!
Kolo unaumia na kuteseka ukitokea pande zipi?Ukiona watu wananyweshwa supu ujue hizo ni nyama za kafara.
Mechi ya leo kinachotawala ni uchawi tu hakuna lolote!
Bado hamjasemaUkiona watu wananyweshwa supu ujue hizo ni nyama za kafara.
Mechi ya leo kinachotawala ni uchawi tu hakuna lolote!
Yaani mnaanza kulia kabla hata ligi haijaanza!? Haa haaa haaaa!!!Ukiona watu wananyweshwa supu ujue hizo ni nyama za kafara.
Mechi ya leo kinachotawala ni uchawi tu hakuna lolote!
Yani ukiona kijana karne ya sasa anahamini uchawi,ujue anaishi bado kwa wazazi,moira ni mchezo wa wazi hauchezwi ndani broo acha hizoUkiona watu wananyweshwa supu ujue hizo ni nyama za kafara.
Mechi ya leo kinachotawala ni uchawi tu hakuna lolote!
Kwa Yesu kila goti litapigwa.Hawa Yanga tusiwabeze, yako vizuri msimu huu
Simba tujipange tu, tutawafikia na kuwaacha...
Ila kwasasa wako mbali kutuzidi...