Mimi naona ni ile na kaizer chifs kwa mkapaKwa mechi tulizoshinda kimataifa ni mechi gani bora wewe ulienjoy? Binafsi kwangu vs Platnums biriani ilipigwa.
Simba vs Nkana 2-1
Simba vs As Vita 3-1
Simba vs Fc Platinum 4-0
Simba vs Red arrows 3-0
Simba vs Orland 3-1
Simba vs berkane 1-0
Simba vs Mimosas 3-1
Simba vs Al Ahly 1-0
Simba vs US Gendamarine 4-0
Na wewe ulizalishwa kisa mechi hiyo?? Ulipigwa mbupu ya maana au sio???na nkana kwa kweli
tuliingia hadi barabarani kushangilia
watoto wengi wamepatikana kutokana na mechi hiyo
babaako naye anajitamba ana mtoto mkubwa anamiliki simu kubwaNa wewe ulizalishwa kisa mechi hiyo?? Ulipigwa mbupu ya maana au sio???
Acheni mambo ya kitoto bhana. Utani unafanyika humu jukwaani! Inakuwaje muwahusishe na wazazi?Tulienjoy sana kumpiga mama yako mtungo
Ile mechi Morison alizingua alitaka aonekane yeye anapiga chenga beki nzima pasi hatoi mwishoe anapotezaPale aggregate ilizingua ila mpira ulipigwa
Naomba unifikishie ujumbe kwake pia. Ikiwezekana tuishie tu kwenye kuitana mbumbumbu, utopolo, makolo, nyani Luc nani sijui yule!!Unamruka Yanga mwenzio kujibu uharo unakuja kunishauri mimi wakati yeye ndo kaanzisha
Ila kuna ile ya marudio pia kule Bondeni! Kwa mara ya kwanza tulishuhudia Chris Mushimba Mugalu akicheza kama kiungo mkabaji!Vs kaizer chief mpaka utopolo walitoka wakisema hiiiii! Bhagosha!
Kuna katabia huwa nakaona kwako mkuu na huwa kananifanya nikuone ni mnafiki tu, pale ambapo shabiki wa Yanga Sc anapoanzisha matusi humu kwenye jukwaa huwa unajifanya huoni ila pale ambapo shabiki wa Simba Sc ataamua kuyajibu hayo mashambulizi kwa matusi, ndipo huwa unajitokeza kuonyesha hizi busara zako za kijinga.Acheni mambo ya kitoto bhana. Utani unafanyika humu jukwaani! Inakuwaje muwahusishe na wazazi?
Uko sahihi kabisa. Kuna kale katabia ka kuoneana aibu kwa sababu tu ya kufanana mlengo. Na kama ndiyo unafiki wenyewe, basi nakiri na mimi kumbe ni mnafiki kwa kiasi chake.Kuna katabia huwa nakaona kwako mkuu na huwa kananifanya nikuone ni mnafiki tu, pale ambapo shabiki wa Yanga Sc anapoanzisha matusi humu kwenye jukwaa huwa unajifanya huoni ila pale ambapo shabiki wa Simba Sc ataamua kuyajibu hayo mashambulizi kwa matusi, ndipo huwa unajitokeza kuonyesha hizi busara zako za kijinga.
Aliyeanzisha kimtusi mwenzake ni shabiki wa Yanga na haukumpa huu wasaa wako, ila baada ya jamaa kujibu ndio imekuuma sana? BINAFSI naungana na huyo aliyemtukana mama wa huyo jamaa aliyeanzisha matusi humu.
JIFUNZE KUWA FAIR.