Refa awe yule aliyemtolea Nape bastola.Referee awe ni mwanajeshi au yule polisi wa Morogoro
Inabidi tudumishe mshikamano itikadi za vyama tuweke kandonaona unataka kuleta mambo ya Bush Stars na Born Town
Nadhani umeona Clouds 360 Lameck kasema yule jamaa ni nani?Refa awe yule aliyemtolea Nape bastola.
Lameck hajielewi, yule mtu ni hatari maana anapokea order kutoka kwa boss wa lameckNadhani umeona Clouds 360 Lameck kasema yule jamaa ni nani?
Watakubali sasa?Itakua zaidi ya Simba na Yanga alaf we kijana mbunifu sana. Unaweza kuingiza mkwanja ukiandaa hii Game uwanja wa taifa
AsanteHii safi sana. Wazo zuri hilo
Sio kwa DAB maana ukifata Itifaki lazimi huyu awepoLameck hajielewi, yule mtu ni hatari maana anapokea order kutoka kwa boss wa lameck
Timu ipi itapigwa kadi nyingi?Kadi nyekundu zitakuwa nyingi Sana
Policcm ataibeba uvccm.Referee awe ni mwanajeshi au yule polisi wa Morogoro