Mechi ya Al Ahly vs Simba ichunguzwe

Mechi ya Al Ahly vs Simba ichunguzwe

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Nimeangalia hii mechi. Kuna viashiria vya upangaji matokeo, haiingii akilini kuambiwa wale ni wachezaji walionunuliwa kwa mabilioni ya pesa. Hivi kwa mpira wa jana kuna tofauti gani kati ya ya yule Mahmoud Kahraba na Clement Mzinze.

Waarabu wanapiga pasi zisizokua na maana, wanabutua butua na kukosa magoli ya wazi ila sasa walivyofungwa wakajua mechi ikiisha ivyo ivyo wanatolewa, nafasi ya kwanza tu waliyopata baada ya kufungwa wakaipeleka nyavuni halafu wakarudi kucheza mpira ule ule wa mwanzo. Pasi zisizokua na maana, kubutuabutua na kukosa goli za wazi.

Hii mechi matokeo yalipangwa. Najua Simba watakuja kutapika hapa, sina hofu nao maana Rage alishawaelezea kwa kifupi na usahihi kabisa.
 
Nimeangalia hii mechi. Kuna viashiria vya upangaji matokeo, haiingii akilini kuambiwa wale ni wachezaji walionunuliwa kwa mabilioni ya pesa. Hivi kwa mpira wa jana kuna tofauti gani kati ya ya yule Mahmoud Kahraba na Clement Mzinze..
Ule ulikuwa mpango wa kumwokoa na mwenyeji wa mashindano Simba na aibu ya magoli mengi
 
Nimeangalia hii mechi. Kuna viashiria vya upangaji matokeo, haiingii akilini kuambiwa wale ni wachezaji walionunuliwa kwa mabilioni ya pesa. Hivi kwa mpira wa jana kuna tofauti gani kati ya ya yule Mahmoud Kahraba na Clement Mzinze...
Manara Jr,

"Wenye akili Yanga ni wawili tu. Baba yangu na Rais Kikwete"

Mwisho wa kunukuu.
 
Endapo itatokea timu moja ikafungwa goal 5 au 6 basi mashindano yataonekana ni ya wakubwa wachache na vibonde ndo maana unaona mechi zote hazina magoal yanayozidi matatu , timu zimeshapewa maagizo wafungane kiaina
Al ahly ni too much kwa kweli makampuni ya kubet lazima yalinunua hii mechi haiwszekeani timu inakosa goli za wazi wqzi cha kushangaza wakifungwa wao na kuwa nyuma kwa magoli wanachomoa fasta fasta halafu wanarudi kwenye utaratibu ule ule wa kukosa magoli. Sio bure kwa kweli
 
Mtoa mada achunguzwe inawezeka matokeo ya al hally vs Simba sc. Yamempotezea hela nyingi sana.
Badala ya kuongelea mada unamuongelea mtu anyway sikushangai maana Rage alishawaelezea kwa ufupi na usahihi
 
Nimeangalia hii mechi. Kuna viashiria vya upangaji matokeo, haiingii akilini kuambiwa wale ni wachezaji walionunuliwa kwa mabilioni ya pesa. Hivi kwa mpira wa jana kuna tofauti gani kati ya ya yule Mahmoud Kahraba na Clement Mzinze.

Waarabu wanapiga pasi zisizokua na maana, wanabutua butua na kukosa magoli ya wazi ila sasa walivyofungwa wakajua mechi ikiisha ivyo ivyo wanatolewa, nafasi ya kwanza tu waliyopata baada ya kufungwa wakaipeleka nyavuni halafu wakarudi kucheza mpira ule ule wa mwanzo. Pasi zisizokua na maana, kubutuabutua na kukosa goli za wazi.

Hii mechi matokeo yalipangwa. Najua simba watakuja kutapika hapa, sina hofu nao maana Rage alishawaelezea kwa kifupi na usahihi kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23] mbu mbu mbu in rage voice
 
Back
Top Bottom