Mechi ya Al Rabita vs Namungo yafutwa

Mechi ya Al Rabita vs Namungo yafutwa

Olmost

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
337
Reaction score
441
IMG_20201206_112212.jpg
 
Hivi TFF mmekosa weledi Hadi kuleta habari ya kuning'nia kwa kueano hiki!
 
Hivi TFF mmekosa weledi Hadi kuleta habari ya kuning'nia kwa kueano hiki!
Yan habar inang'inia kama kiwiliwili
Sijui tff Kaz Yao nn kabsa yani huyo afisa
Habar wao n bora kumekucha
 
CAF wameifuta mechi tu. Hadi wakikaa kikao chao cha maamuzi ndio wataamua kama Namungo imepita ama la.

Ingekuwa ni ile tume yetu ya NEC ndio itafanya maamuzi tungetabiri tu maamuzi kwa kusema 'Namungo imepita bila kupingwa'
 
Back
Top Bottom