Mate hapa umeongelea kuufavor mchepuko wako zaidi.......lol
Mechi itakuwa nyepesi kwa barca haswa ukizingatia kuwa watacheza mchezo wao wakukaa na mpira muda mrefu nakutumia kupenya katikati...juve wanafungika kwa urahisi kwa mapigo hayo na siyo kutumia cross....
Siamini ninachokiona!!! Mwana Bernabeau wa kwanza kwa siku ya leo kutabiri mema kwa Barca....na iwe kama ulivyonena ,UCL ije Spain.
Siamini ninachokiona!!! Mwana Bernabeau wa kwanza kwa siku ya leo kutabiri mema kwa Barca....na iwe kama ulivyonena ,UCL ije Spain.
sina la kuongeza mkuu kila kitu umemaliza
Hahahahhahahahha....unajua roho mbaya haijengi,me napenda kuzungumza ukwel wa kile ninachokiona....nawapa 99% barca kushinda kwa sababu ya umakini,speed ya foward line yao...lakini pia ni kwa sababu ya mfumo ambao naamini watautumia...juve kushinda ni maajabu kuliko ukweli
Teehe teehe siamini ninachokiona mwana Nou camp anayesubiri kombe..... Na isiwe hivyo maana mchepuko ukishinda utakua umekudhalilisha
hapana mate!! watu wanaichukulia kizembe juve, but hyo ni ngumu sana, unakumbuka game yenu na celta vigo? waliwakazia dk 76 methiew akaamua MSN haikuonekana, malaga first round unakumbuka? let's wait utaniambia
Yaani nilikuwa najiona mi.naipendaaaaaaaa barcelona lkn kwa post na coment hizi mi bado sana ila wote tutafurahi sn kama andunje atafunga hiyo ksh
cc. M-mbabe
barca will be massive favourites, but there are some +ve for juve
~barca play without a 10, so pirlo/pyereira might be able to get free to hit a long ball or 2 over the top,
~barca lack a major aerial threat, so sitting deep against them might work okay,
~Alves doesn't burst foward anymore, so pogba can focus on messi coming inside and on the counter he can burn alves.
Altenatively:
pogba could play as the 10 and vidal or marchisio could play LCM and they have intelligence to make it harder for messi when he looks to come inside and hit thru ball,
~morata and Llorente are those bigger than mascherano,
~chiellini being out, barzagli will play instead of him, doesnt change anything
mkuu post yako uliyo m qoute PNC 1 fanya kama una edit kidogo
duh!!!! mkuu rekebisha acha haraka za kuandika inaonyesha mwalimu wako ulikua unampa shida sana**** watu wanaipenda barcelona mmmmm mi nasubili mbali.sn
duh!!!! mkuu rekebisha acha haraka za kuandika inaonyesha mwalimu wako ulikua unampa shida sana