Mechi ya Derby, Simba tunaingia kama "Underdog"

Mechi ya Derby, Simba tunaingia kama "Underdog"

pesakilakitu

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
1,618
Reaction score
2,861
Mashabiki na wapenzi wa Simba sports club

Mechi ya Derby ya tarehe 8, sisi tunaingia kama underdog, tunaona kila mahali utopolo wanajitapa, Wana matokeo mfukoni tayari, tunasikia wengine wako mitaani wanazurura na kufuturisha, wanaiona Simba kama timu ya daraja la 2

Kuna kafara lao la kila kuelekea derby hua wanalifanya, limeshafanyika la kutembelea watoto mayatima na walioa na matatizo maalumu, (maelekezo ya mganga wa pangani)

Sisi simba sports club tunamuamini Mungu, tunamuamini Allah subbnallah tarehe 8 ifike tutajua Mungu na waganga wa pangani nani ana nguvu.
 
Mashabiki na wapenzi wa Simba sports club

Mechi ya Derby ya tarehe 8, sisi tunaingia kama underdog, tunaona kila mahali utopolo wanajitapa, Wana matokeo mfukoni tayari, tunasikia wengine wako mitaani wanazurura na kufuturisha, wanaiona Simba kama timu ya daraja la 2

Kuna kafara lao la kila kuelekea derby hua wanalifanya, limeshafanyika la kutembelea watoto mayatima na walioa na matatizo maalumu, (maelekezo ya mganga wa pangani)

Sisi simba sports club tunamuamini Mungu, tunamuamini Allah subbnallah tarehe 8 ifike tutajua Mungu na waganga wa pangani nani ana nguvu.
Endelea kujifariji makolo fc
 
Mashabiki na wapenzi wa Simba sports club

Mechi ya Derby ya tarehe 8, sisi tunaingia kama underdog, tunaona kila mahali utopolo wanajitapa, Wana matokeo mfukoni tayari, tunasikia wengine wako mitaani wanazurura na kufuturisha, wanaiona Simba kama timu ya daraja la 2

Kuna kafara lao la kila kuelekea derby hua wanalifanya, limeshafanyika la kutembelea watoto mayatima na walioa na matatizo maalumu, (maelekezo ya mganga wa pangani)

Sisi simba sports club tunamuamini Mungu, tunamuamini Allah subbnallah tarehe 8 ifike tutajua Mungu na waganga wa pangani nani ana nguvu.
Vitabu vya dini havijaongelea mpira.
Utajijua mwenyewe siku hiyo.

YANGA BINGWA!
 
Hahaha [emoji1787] [emoji1787] [emoji23] utakufa vby nina uhakika amtoboi
Mbona kama umejibu kwa kutetemeka? Narudia tutaona kati ya waganga na wachawi wa pangani na Allah Subbnallah nani ana nguvu
 
Allah ameshindwa kuwasaidia Wapalestina ndio sembuse mikia?
Huyu jamaa ni mtu mzima lakini akili changa! Mawazo aliyokuwa nayo enzi zile mchanga JF bado anayo mpaka leo!
Hii PhD ni halali kweli?
Achana na Allah kutoweza kuwasaidia wapalestina, Je yule aliyebutuliwa na Warumi kwenye mti mpaka anaomba huruma ndiyo mwenye nguvu?

Waisrael walichinjwa na Wanazi wa Hitler, Mungu wa Israel alikuwa mnyonge kwa Mungu wa Hitler?
 
Huyu jamaa ni mtu mzima lakini akili changa! Mawazo aliyokuwa nayo enzi zile mchanga JF bado anayo mpaka leo!
Hii PhD ni halali kweli?
Achana na Allah kutoweza kuwasaidia wapalestina, Je yule aliyebutuliwa na Warumi kwenye mti mpaka anaomba huruma ndiyo mwenye nguvu?

Waisrael waluchinjwa na Wanazu wa Hitler, Mungu wa Israel alikuwa mnyonge kwa Mungu wa Hitler?
Hii ni ile PHD ya jalalan
 
Mashabiki na wapenzi wa Simba sports club

Mechi ya Derby ya tarehe 8, sisi tunaingia kama underdog, tunaona kila mahali utopolo wanajitapa, Wana matokeo mfukoni tayari, tunasikia wengine wako mitaani wanazurura na kufuturisha, wanaiona Simba kama timu ya daraja la 2

Kuna kafara lao la kila kuelekea derby hua wanalifanya, limeshafanyika la kutembelea watoto mayatima na walioa na matatizo maalumu, (maelekezo ya mganga wa pangani)

Sisi simba sports club tunamuamini Mungu, tunamuamini Allah subbnallah tarehe 8 ifike tutajua Mungu na waganga wa pangani nani ana nguvu.
Kwa hiyo Mungu amefungwa na wachawi mara 4 mfululizo? Hamuoni huyo Mungu ndio tatizo?
 
Kwa hiyo Mungu amefungwa na wachawi mara 4 mfululizo? Hamuoni huyo Mungu ndio tatizo?
Ni uchawi na makafara na uonevu ndio ulishinda ila hua havinaga muda mrefu...Mungu hujibu kwa wakati wake.
 
Kipindi kile Shafih Dauda anasema kwenye hili kundi Simba ndio underdog. Mbumbumbu walimtia misukosuko sana, wao walikuwa wanajua Underdog, ni Mbwa wa chini. NOMA SANA.
 
Back
Top Bottom