Mechi ya jana mikosi ilianzia hapa...

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Television ya taifa,ipo bize na mambo ambayo yalikuwa out of the day kwa jana,
WENZETU WANAJITAHIDI ANGALAU KUONYESHA TIMU YAO INAPOCHEZA TU mikosi ikaanzia hapo,ikaendelea mpaka kwa mashabiki wakimbizi, na wale wakushabikia mchezaji,ikaendelea na wapagani ambao hawakusali jana.
 
Kabla ya hapo kuna wale kamaa wa mjengoni walipigana ngumi wakiwa hotelini..mikosi kwa kwenda mbele
 
Kabla ya hapo kuna wale kamaa wa mjengoni walipigana ngumi wakiwa hotelini..mikosi kwa kwenda mbele
Hivi chanzo cha ugomvi ulikua ni nini...ni aibu kubwa waheshimwa wanarusha ngumi kama mabondia
 
Taifa Stars ina matatizo mengi ya kimsingi....team mbovu,uongozi wa hovyo ,wachezaji wachovu,maandalizi duni,kocha mchovu na hashauriki.
kwa nini kwa mfano kocha hakuwaanzisha Ulimwengu,Mohamed Hussein na Damoye?
 
Ni kweli tuna wachezaji wazuri ambao wangepangwa matokeo yangekuwa tofauti kidogo.
Timu haikuwa balanced kwa maana katika kupanga timu tulizingatia uwakilishi sawa kati ya TZ Bara na TZ Visiwani.
Mimi ni shabiki wa Dar Es Saam YOUNG AFRICANS lakini kuwaacha akina Nyoni na Zimbwe (shabalala) katika timu ya kwanza ni makosa kitaaluma. Pia kumwacha Mkude kwenye timu ya Taifa pia ni makosa.
Kucheza mpira pamoja na kuwa ni Burudani lakini ni sawa na kupigana vita. Hatuwezi kuzingatia uwakilishi wa Bara na VIsiwani kwenye Vita. Tukumbuke Vita ya Kagera tulivyopigana. Hatukuwa na swala la uwakilishi sawa ila tu uwezo wa kila askari.
Akina Msuva na Samatta walishindwa kucheza kwa sababu timu haikuwa na muunganiko kutoka nyuma, mid field hadi mbele.
Upangaji wa Timu ulikuwa mbovu.
 
Na sisi tuliobet pia tulichangia
 

Attachments

  • IMG_0717.JPG
    63.8 KB · Views: 64
Huyu kocha ni kama amekuja kujifunzia ukocha tanzania. Anafanya mizaa kwenye upangaji wa kikosi.
 
Nimekuelewa mkuu kwa kiwango cha lami hao wachezaji uliowataja Kwanza juzi tu wametoka kucheza mashindano makubwa
 
Labda Kocha amepangiwa kikosi, huwezijua.
Mpira wa Tz, wanaouua ni viongozi.

Wachezaji hawana stamina. Hadi aibu.

Ila siyo mbaaya sana. Huu ni mwanzo tu.
 
Safi!
 
Na wale waliochoka kufanyia ufuska Dodoma wakaamua wakafanyie misri mbali na waume/ wake zao
 
WAJITATHIMINI KWA KWELI...
 

Attachments

  • TAIFA STARS ANALYSE.png
    4.6 KB · Views: 14
Kabla ya hapo kuna wale kamaa wa mjengoni walipigana ngumi wakiwa hotelini..mikosi kwa kwenda mbele
Hiki jambo mbona mnalifanya siri? Fungukeni tuwaelewe ni nani hao? Au kuna mtu alileta uccm wakampa kibano?
 
mechi hata zikionyeshwa kama yupo himidi mao kipigo kipo constant kama pai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…