Mechi ya leo inaviashiria vingi vya rushwa, rejea tukio la kadi ya njano ya Che Malone

Mechi ya leo inaviashiria vingi vya rushwa, rejea tukio la kadi ya njano ya Che Malone

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Kama we ni mtu wa mpira na sio mtu wa kuleta ushabiki kwa kila jambo utaungana nami, mfano ni tukio la kadi ya njano la Che Malone refa alipiga filimbi wakati mshambuliaji kapiga mpira kuelekea goli japo hakurenga goli, pia kama ilikua faulo kwanini hakutoa kadi nyekundu kwa Malone ambae alikua beki wa mwisho?

Je lengo lake halikua kuikoa Simba isufungwe?
 
Kama we ni mtu wa mpira na sio mtu wa kuleta ushabiki kwa kila jambo utaungana nami, mfano ni tukio la kadi ya njano la Che Malone refa alipiga filimbi wakati mshambuliaji kapiga mpira kuelekea goli japo hakurenga goli, pia kama ilikua faulo kwanini hakutoa kadi nyekundu kwa Malone ambae alikua beki wa mwisho?

Je lengo lake halikua kuikoa Simba isufungwe?
Refa leo kazengua sana, ni kama aliambiwa ahakikishe Simba inashinda. Ukiona refa anatoka under escort uwanjani, hapo kuna ya kujiuliza.
 
Kama we ni mtu wa mpira na sio mtu wa kuleta ushabiki kwa kila jambo utaungana nami, mfano ni tukio la kadi ya njano la Che Malone refa alipiga filimbi wakati mshambuliaji kapiga mpira kuelekea goli japo hakurenga goli, pia kama ilikua faulo kwanini hakutoa kadi nyekundu kwa Malone ambae alikua beki wa mwisho?

Je lengo lake halikua kuikoa Simba isufungwe?
Wewe ni Mjinga then KILAZA MKUBWA Usiyejua Football Pimbi weeee
 
Kama we ni mtu wa mpira na sio mtu wa kuleta ushabiki kwa kila jambo utaungana nami, mfano ni tukio la kadi ya njano la Che Malone refa alipiga filimbi wakati mshambuliaji kapiga mpira kuelekea goli japo hakurenga goli, pia kama ilikua faulo kwanini hakutoa kadi nyekundu kwa Malone ambae alikua beki wa mwisho?

Je lengo lake halikua kuikoa Simba isufungwe?
Ubaya ubwela.....
 
Kama we ni mtu wa mpira na sio mtu wa kuleta ushabiki kwa kila jambo utaungana nami, mfano ni tukio la kadi ya njano la Che Malone refa alipiga filimbi wakati mshambuliaji kapiga mpira kuelekea goli japo hakurenga goli, pia kama ilikua faulo kwanini hakutoa kadi nyekundu kwa Malone ambae alikua beki wa mwisho?

Je lengo lake halikua kuikoa Simba isufungwe?
 

Attachments

  • Screenshot_20241215-211726.jpg
    Screenshot_20241215-211726.jpg
    269.1 KB · Views: 3
Uko shirikisho hakuna utaratibu ni kama Ndondo tu.
Refa anaweza chezesha ata dk 100 kwa faida ya Mwenyeji.
Mwishowe refa anapigwa makofi sababu ya Dola 200 na aibu juu.
 
Mpira wa afrika ni magumashi, tena miaka hiyo ukicheza mechi na timu za kiarabu huwa tunakupa pole...hivyo ndivyo ilivyo.
 
Refa leo kazengua sana, ni kama aliambiwa ahakikishe Simba inashinda. Ukiona refa anatoka under escort uwanjani, hapo kuna ya kujiuliza.
Kule Tripoli refa alitoka under escort na Ahl Tripoli walipigwa fine, kwa waarabu refa kutoka under escort siyo ajabu na wanapigwa sana fine.
Kama ulicheki mechi ya Yanga Vs Mc Alger ilichezwa bila mashabiki wajua sababu nini?
 
Kule Tripoli refa alitoka under escort na Ahl Tripoli walipigwa fine, kwa waarabu refa kutoka under escort siyo ajabu na wanapigwa sana fine.
Kama ulicheki mechi ya Yanga Vs Mc Alger ilichezwa bila mashabiki wajua sababu nini?
Waarabu kwa ujumla hata mechi za ligi tu hawakawii kupigana, kwetu hili ni somo jipya.
 
Saiz ni third second sfaxien anaongoza kamba ya nne dhidi ya manyama kwa goli moja
Haya uto lalaleni kwa furaha
 
Back
Top Bottom