Mie nawaomba wahusika waziweke timu zote sawa. Angalia mechi zinazohusisha Yanga au Simba na Azam kwa mbali, huduma ya kwanza haikosekani.Mpira ni mchezo wa kufakufa,ukikutana na Afande El Fadhil wa Prison akainua mguu wa uso lazima ukate moto.
Amna usawa kabisa.Mie nawaomba wahusika waziweke timu zote sawa. Angalia mechi zinazohusisha Yanga au Simba na Azam kwa mbali, huduma ya kwanza haikosekani.
Ni mamlaka husika zipo zinaangalia tu mpaka siku yatokee madhara,hii nchi aliyeturoga nani?Halafu sheria?kanuni tunazitunga wenyewe, hatuzifuati.