Mechi ya mamelodi na Yanga yapewa heshima ya SADC derby na CAF

yanga mnaforce kila kitu ili muwe juu ya simba sasa mabo ya derby ni ya ahly na simba yanaingiaje na kwenu sasa..ushamba ni mzigo sana
Hapana mkuu...sio sisi but ni CAF
 
Paka na Al ahly aah nimesahau ni Simba na Al ahly tuwaite mdebwedo derby
Ila Simba ni kibonde ....so haiwezekani kuwa Derby...coz Al ahly ni mkubwa zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…