Mechi ya marudiano kati ya Tanzania na Somalia ni lini?

Mechi ya marudiano kati ya Tanzania na Somalia ni lini?

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Wakuu mweny taarifa naomba anipatie,nijiandae nkashuhudie mtanange,maana watanzania tuna bado tunamatumain ya kufuzu.

Kufunga sku ile imetupa Iman kubwa na Tim yetu,mpaka Sasa tuna 80% za kufuzu,Uganda tutamshnda Wala msihofu
 
Mzee wa wa 1300 ulikuww sehemu haina mtandao nn
 
Ila kama Taifa stars itaendelea kucheza 'kifather' kule mbele, basi tujiandae tu kuipa Uganda tiketi ya kufuzu kwenye mchezo wao wa mwisho. Kwenye mechi ya marudiano, ni Sopu peke yake ndiye aliye onesha fighting spirit!

Kibu Denis kama kawaida yake! Alikuwa anaruka ruka tu kwa dakika zote alizocheza! George Mpole naye utafikiri amepigwa na kitu kizito kichwani! Siyo yule George Mpole wa Geita Gold!
 
Ila kama Taifa stars itaendelea kucheza 'kifather' kule mbele, basi tujiandae tu kuipa Uganda tiketi ya kufuzu kwenye mchezo wao wa mwisho. Kwenye mechi ya marudiano, ni Sopu peke yake ndiye aliye onesha fighting spirit!

Kibu Denis kama kawaida yake! Alikuwa anaruka ruka tu kwa dakika zote alizocheza! George Mpole naye utafikiri amepigwa na kitu kizito kichwani! Siyo yule George Mpole wa Geita Gold!
Yule mtanzania mwenye asili ya Kongo yule ni tatizo

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom