Mechi ya Simba dhidi ya Ihefu ichezwe uwanja wa Mbeya mjini, Kusafiri takribani masaa mawili na nusu kwenda uwanja wa Ihefu ni kuchoshana tu.

Mechi ya Simba dhidi ya Ihefu ichezwe uwanja wa Mbeya mjini, Kusafiri takribani masaa mawili na nusu kwenda uwanja wa Ihefu ni kuchoshana tu.

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Timu inatoka Dar kweda Mbeya kwa ndege safari ya takribani saa mawili, timu inafika mjini na kupumzika kwenye hoteli za mjini, mazoezi yanafanyika uwanja wa Sokoine wa hapo hapo mjini unaotumika kwa mechi za mbeya city na prisons.

Timu inabidi ianze safari ya masaa mawili na nusu kwa basi siku ya mechi kuwafata bush hao Ihefu, hiyo safari pekee ni kupoteza muda sana kwa wachezaji.

Ikipendeza uwanja wa kutumika uwe wa hapo hapo Mbeya mjini maana hauna shida,
 
Mechi ni southern highland mtake msitake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu ligi hii ni ya Tz
Itachezwa popote pale Tz hata iwe nanjilinji ili mradi kuna kiwanja chenye ubora mzuri

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Masaa mawili na nusu unakwenda makambako?

Pale ni lisaa limoja umefika Rujewa na Ubaruku

Timu ni ya Wana Mbarali kutoka bonde la Usangu yalipo mashamba ya mpunga.

Wenyeji kwa kabila ni Wasangu

NB. Wakicheza Mbeya mjini unataka mashabiki wao wateseke?
 
Masaa mawili na nusu unakwenda makambako?

Pale ni lisaa limoja umefika Rujewa na Ubaruku

Timu ni ya Wana Mbarali kutoka bonde la Usangu yalipo mashamba ya mpunga.

Wenyeji kwa kabila ni Wasangu

NB. Wakicheza Mbeya mjini unataka mashabiki wao wateseke?
Makambako siku hizi ni masaa manne.

Vibao vya speed wamekazia sana siku hizi yofauti na zamani.

Siku hizi hata Iringa ni masaa sita sio kama zamano masaa matatu
 
Masaa mawili na nusu unakwenda makambako?

Pale ni lisaa limoja umefika Rujewa na Ubaruku

Timu ni ya Wana Mbarali kutoka bonde la Usangu yalipo mashamba ya mpunga.

Wenyeji kwa kabila ni Wasangu

NB. Wakicheza Mbeya mjini unataka mashabiki wao wateseke?
Kwa sasa hivi hiyo lisaa limoja ni kama kutoka Mbeya Mjini hadi Chimala labda
Kutoka Mbeya Mjini mpaka Ubaruku ni karibia masaa mawili kasoro au mawili kamili
 
Back
Top Bottom