Mechi ya Simba na Yanga,wekezeni kwenye mpira acheni imani za kushirikina

Mechi ya Simba na Yanga,wekezeni kwenye mpira acheni imani za kushirikina

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Umefika muda hizi timu kukubali kuwa mchezo wa soka sio maonesho ya mazingaombwe.

Watu tunapenda soka sio kuzidiana nguvu za kichawi.

Hivi vizee vinavyotukuza uchawi tuvipige marufuku katika soka.Sio tunachekea vizee hivi hadi vinaalikwa ikulu kwenda kufuturu.

Tunapaswa kubadilika sana

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Umefika muda hizi timu kukubali kuwa mchezo wa soka sio maonesho ya mazingaombwe.

Watu tunapenda soka sio kuzidiana nguvu za kichawi.
Hivi vizee vinavyotukuza uchawi tuvipige marufuku katika soka.Sio tunachekea vizee hivi hadi vinaalikwa ikulu kwenda kufuturu.
Tunapaswa kubadilika sana

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
.a.k.a kamati za ufundi
 
Back
Top Bottom