Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Mechi ya Ruvu Shooting na Simba iliyokuwa ichezwe kesho Jumamosi uwanja wa taifa Dar es salaam imeahirishwa hadi keshokutwa, Jumapili, March 22, 2015.
Mabadiliko hayo ni kutokana na bodi ya ligi kuifanyia marekebisho ratiba iliyokuwepo kwa lengo la kuiboresha.
Masau Bwire ndiye chanzo
Mabadiliko hayo ni kutokana na bodi ya ligi kuifanyia marekebisho ratiba iliyokuwepo kwa lengo la kuiboresha.
Masau Bwire ndiye chanzo