Mechi ya Ligi Kuu Bara kati ya Simba dhidi ya Ruvu Shooting iliyokuwa ipigwe kesho, sasa itachezwa keshokutwa Jumapili.
Ratiba inaonyesha mechi hiyo ilitakiwa kuchezwa Jumamosi, lakini taarifa zimetolewa kuwa itachezwa Jumapili.
Msemaji wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amethibitisha hilo kuwa mechi hiyo sasa itachezwa Jumapili.
"Kweli tumepata taarifa kwamba mechi ni Jumapili, hivyo tutakutana na Simba siku hiyo," alisema Masau.
Mechi ya Ligi Kuu Bara kati ya Simba dhidi ya Ruvu Shooting iliyokuwa ipigwe kesho, sasa itachezwa keshokutwa Jumapili.
Ratiba inaonyesha mechi hiyo ilitakiwa kuchezwa Jumamosi, lakini taarifa zimetolewa kuwa itachezwa Jumapili.
Msemaji wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amethibitisha hilo kuwa mechi hiyo sasa itachezwa Jumapili.
"Kweli tumepata taarifa kwamba mechi ni Jumapili, hivyo tutakutana na Simba siku hiyo," alisema Masau.