Mechi ya Singida Big Stars vs Zanaco FC mmeionaje?

Mechi ya Singida Big Stars vs Zanaco FC mmeionaje?

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
1,016
Reaction score
2,195
Watu wa Soka,

Jana Agosti 4 katika Siku yetu maalum ya BIG DAY tulicheza mechi ya kirafiki na klabu ya Zanaco FC kutoka Zambia na tukaibuka na ushindi wa goli moja kwa sifuri (1-0) katika dimba letu la nyumbani la LITI (zamani Namfua).

Tumelinda heshima ya nchi lakini pia tumeisitiri sherehe yetu. Vinginevyo tungepata aibu kama waliyoipata jamaa wa jangwani mwaka jana, teh!

Kama ulipata nafasi ya kutazama mechi, ni kipi hasa kilikuvutia?

Full-Time.jpg
 
ombi langu , ongea na wahusika wa uwanja kule pembeni wamwagie moramu au mchanga lile vumbi wameacha la nini sasa? anyway hongereni sana lakini
 
Watu wa Soka,

Jana Agosti 4 katika Siku yetu maalum ya BIG DAY tulicheza mechi ya kirafiki na klabu ya Zanaco FC kutoka Zambia na tukaibuka na ushindi wa goli moja kwa sifuri (1-0) katika dimba letu la nyumbani la LITI (zamani Namfua).

Tumelinda heshima ya nchi lakini pia tumeisitiri sherehe yetu. Vinginevyo tungepata aibu kama waliyoipata jamaa wa jangwani mwaka jana, teh!

Kama ulipata nafasi ya kutazama mechi, ni kipi hasa kilikuvutia?

View attachment 2315406
Kilichonivutia ni kuona makolo wamepata mrithi wa nafasi ya pili msimu huu
 
Timu fulani ilikuwa inaombea mfungwe ili muende sawa.
 
SINGIDA BIG STARS SQUAD 2022/2023

GOALKEEPERS


  1. Metacha Mnata
  2. Benedict Haule
  3. Abou Khomen
DEFENDERS

  1. Juma Abdul
  2. Yassin Mustapha
  3. Paschal Wawa
  4. Shafik Batambuze
  5. Dario Federico
  6. Paul Godfrey
  7. AbdulMajid Mangalo
midfielders

  1. Said Ndemla
  2. Deus Kaseke
  3. Azizi Andambwile
  4. Gomez
  5. Daudi Name
  6. James Kotei
Forwards

  1. Amis Tambwe (C)
  2. Meddie Kagere
  3. Harrison
  4. Peterson Cruz
  5. Kelvin Sabato
 
ombi langu , ongea na wahusika wa uwanja kule pembeni wamwagie moramu au mchanga lile vumbi wameacha la nini sasa? anyway hongereni sana lakini
Aisee nashukuru umeliona hili au waweke zege tu linatosha si wana udhamini na simba cement hawa? halafu pia waweke benchi.zuri pale uwanjani maana hawa tunategemea top 4 msimu ujao
 
SINGIDA BIG STARS SQUAD 2022/2023

GOALKEEPERS


  1. Metacha Mnata
  2. Benedict Haule
  3. Abou Khomen
DEFENDERS

  1. Juma Abdul
  2. Yassin Mustapha
  3. Paschal Wawa
  4. Shafik Batambuze
  5. Dario Federico
  6. Paul Godfrey
  7. AbdulMajid Mangalo
midfielders

  1. Said Ndemla
  2. Deus Kaseke
  3. Azizi Andambwile
  4. Gomez
  5. Daudi Name
  6. James Kotei
Forwards

  1. Amis Tambwe (C)
  2. Meddie Kagere
  3. Harrison
  4. Peterson Cruz
  5. Kelvin Sabato
Gyan vp
 
Back
Top Bottom