Mechi ya VPL, Kariakoo Derby | Simba SC Vs Yanga SC | Uwanja wa Mkapa Yaahirishwa

Simba nao wameshaingiza Timu uwanjani. Kuna maandalizi ya uzinduzi wa kitabu cha Rais mstaafu Mzee Mwinyi.

Viongozi wa Yanga watumie busara tu hii game ichezwe
 
Viongozi wa Yanga na mashabiki wao wanafanana kitabia na wale mashabiki wa Man UTD.

Kisaikolojia hii game kama itachezwa, Yanga itafungwa goli nyingi. Maana tayari washatoka mchezoni
 
Simba nao wameshaingiza Timu uwanjani. Kuna maandalizi ya uzinduzi wa kitabu cha Rais mstaafu Mzee Mwinyi.

Viongozi wa Yanga watumie busara tu hii game ichezwe
Kwanini itumike busara badala ya taratibu na sheria?
 
so Yanga wameamua kukimbia[emoji23][emoji23]
 
Utopolo wanatoa timu uwanjani hapa..


Mimi kama mshabiki wa msimbazi nasema wana haki.. Viongozi wasituletee siasa za kipuuzi katika soka.. Ni ujinga mtupu.
 
Kwanini itumike busara badala ya taratibu na sheria?
TFF imejivua kwenye lawama. Hayo ni maagizo ya Waziri wa michezo.
Kugomea maagizo ya mamlaka ni wazi viongozi wa Yanga wataadhibiwa.

Ili wawe salama ilitakiwa na Timu ya Simba nayo ingegomea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…