Mechi ya Yanga kuipisha mechi ya mkubwa wao Simba SC

Mechi ya Yanga kuipisha mechi ya mkubwa wao Simba SC

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mabadiliko ya Ratiba ya Ligi Kuu kupisha mechi za AFRICAN FOOTBALL LEAGUE.

Hapa ilikuwa lazima mechi ya Ligi kuu isogezwe ni kama Birthday inapoangukia siku ya harusi, Birthday itasogezwa tu mbele harusi ipite.

erasto1590_d033b2363df641ccbf982538d05f67b4.jpg
 
Yaani Mhe.Rais awe na Mkutano halafu na wewe Mwenyekiti wa kitongoji, Mzee Mwakifulefule Atufigwege, na wewe uitishe kikao chako ndani ya kitongoji hicho hicho? Kwanza nani atahudhuria?

Hapa ndo mafuta na maji yanapojitenga. Simba iko level kubwa sana ukilinganisha na Utopwinyo.
 
Ilikua ni swala la mda tu Hawa TFF wanatuonea sana sisi yanga na hii picha ilipigwa na TFF
FB_IMG_16960982694923153.jpg
 
Back
Top Bottom