Mechi ya Yanga kuipisha mechi ya mkubwa wao Simba SC

Yaani Mhe.Rais awe na Mkutano halafu na wewe Mwenyekiti wa kitongoji, Mzee Mwakifulefule Atufigwege, na wewe uitishe kikao chako ndani ya kitongoji hicho hicho? Kwanza nani atahudhuria?

Hapa ndo mafuta na maji yanapojitenga. Simba iko level kubwa sana ukilinganisha na Utopwinyo.
 
Ilikua ni swala la mda tu Hawa TFF wanatuonea sana sisi yanga na hii picha ilipigwa na TFF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…