Mechi ya Yanga na Augusrbg inaonyeshwa chaneli gani?

Mechi ya Yanga na Augusrbg inaonyeshwa chaneli gani?

Analog

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2024
Posts
323
Reaction score
618
Kesho tarehe 20 pale Afrika ya Kusini kutakuwa na mechi kati ya Yanga na Augusbrg ya Ujerumani.

Ningependa kujua mechi inachezwa saa ngap na kuonyeshwa chaneli gani?
 
Vyura wakipigwa itapendeza.
 
Yanga hii ilivyo ya moto hao wazungu watakaa mbili bila, niko paleee maskani Buza Mpalanger!!
 
Azam sport hd 1 na mechi itakuwa live kuanzia saa 10
Kifupi yanga ikicheza afrika inafurahi
Licha ya kwamba Yanga ikicheza halafu ifungwe huwa napata furaha.

Lakini...

Mi hata isipocheza ila nikisikia migogoro ya hizi kesi kesi za uongozi wenu kutotambulika kisheria, hiyo pia inatosha sana kunipa furaha.

Sema Mzee Magoma ujue ana hoja ya msingi. Inakuwaje wanachama watano tu ndio wawe wenye nguvu?

Na Dingi amasema Hersi alitakiwa kuwa raisi wa Dodoma Jiji maana huko ndio asili yake ilipo.

Kaja mjini juzi kisa tu kashikishwa vinoto kajikuta taita ameanza na kuwaengua wazee wenye Club yao, hata mimi sijapenda.
 
Nadhani wangeacha kuonesha mechi zote za Yanga ingekaa vizuri zaidi, ili wangoje wachezaji waje kunogesha zaidi Yanga Day.
 
Licha ya kwamba Yanga ikicheza halafu ifungwe huwa napata furaha.

Lakini...

Mi hata isipocheza ila nikisikia migogoro ya hizi kesi kesi za uongozi wenu kutotambulika kisheria, hiyo pia inatosha sana kunipa furaha.

Sema Mzee Magoma ujue ana hoja ya msingi. Inakuwaje wanachama watano tu ndio wawe wenye nguvu?

Na Dingi amasema Hersi alitakiwa kuwa raisi wa Dodoma Jiji maana huko ndio asili yake ilipo.

Kaja mjini juzi kisa tu kashikishwa vinoto kajikuta taita ameanza na kuwaengua wazee wenye Club yao, hata mimi sijapenda.
Kutoka kupata furaha kupitia pira biriani la Mnyama lililoleta makombe yote msimbazi paka furaha kupatikana kupitia migogoro ya Yanga, kweli zama zimebadilika
 
Kesho tarehe 20 pale Afrika ya Kusini kutakuwa na mechi kati ya Yanga na Augusbrg ya Ujerumani.

Ningependa kujua mechi inachezwa saa ngap na kuonyeshwa chaneli gani?
Azam wataonyesha
 
Hakuna channel itaonesha huo upuuzi wa mechi za mchangani. Yanga walivo na kiherehere mpaka saivi ungeshajua channel Gani wanaonesha.
Azam wanaonesha tafuta panadol upunguze maumivu
 
Back
Top Bottom