Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,026
- 5,299
Je huu sio utapeli kwa watanzania? kama unapewa haki ya kurusha matangazo bure kwanini we uuze? Tunaomba ufafanuzi kwenye hili kabla mechi za timu za Tanzania za leo. Pia TCRA, TFF, FCC na wizara ya sanaa na michezo mpo wapi? kwani hamlijui hili swala na je nyie wachambuzi hamlioni hili pia? au mpaka mama aongee mwenyewe?
Huwezi kupewa rights for free afu wewe urnde kuziuza. Motive za aliyekupa bure haziwezi zikabadilika kwako tu.Kwani makubaliano ya Azam na anayempa yakoje?
Anakatazwa kuuza au hakatazwi?
Hicho ndicho kitu muhimu.
Hapa umeweka mambo kinadharia zaidi, halafu kwa unavyofikiri wewe zaidi.Huwezi kupewa rights for free afu wewe urnde kuziuza. Motive za aliyekupa bure haziwezi zikabadilika kwako tu.
Vinginevyo isiwe kweli Azam wanapewa free, labda ni kwa gharama ndogo.
Hayo matangazo yamekufikia wewe bure?Je huu sio utapeli kwa watanzania? kama unapewa haki ya kurusha matangazo bure kwanini we uuze? Tunaomba ufafanuzi kwenye hili kabla mechi za timu za Tanzania za leo. Pia TCRA, TFF, FCC na wizara ya sanaa na michezo mpo wapi? kwani hamlijui hili swala na je nyie wachambuzi hamlioni hili pia? au mpaka mama aongee mwenyewe?
Thread closedBoss una ushahidi na unachoongea? Hii ni website ya Caf walipotangaza walioshinda Tenda
CAF Announces new Media and TV Rights Agreements for 2024/25 CAF Interclub season
The Confédération Africaine de Football (“CAF”) today announced new media rights and TV agreements for the 2024/25 CAF Interclub Competitions following a successful bidding process for the pay TV (English) and Free to Air (all languages) in Sub-Saharan African territory.www.cafonline.com
Msitumie page za FB kama source jifunzeni kutembelea first party sources.
Azam na Sabc pia wana haki ya paytv utofauti na Supersport ni Lugha, SS ana haki ya kuonesha Kingereza, As long as Azam Hatumii kingereza basi ana haki ya Kuonesha CAF kwenye Paytv.
Na litimu Lao ndiyo maana hallisongi mbele.Je huu sio utapeli kwa watanzania? kama unapewa haki ya kurusha matangazo bure kwanini we uuze? Tunaomba ufafanuzi kwenye hili kabla mechi za timu za Tanzania za leo. Pia TCRA, TFF, FCC na wizara ya sanaa na michezo mpo wapi? kwani hamlijui hili swala na je nyie wachambuzi hamlioni hili pia? au mpaka mama aongee mwenyewe?