Mechi za carabao zinaoneshwa wapi?

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Oya kwasisi tunaoangalia mpira kwenye simu game za carabao tutaona wapi?
 
Tukiwambia nunueni kingamzi cha Azam mnasema startimes mara zuku ni bora kuliko Azam. Sasa wenzako tupo mubashara kabisa kuanzia carabao, laliga, Vodacom na Belgium mpaka Ndondo washenzi nyie.
 
Tukiwambia nunueni kingamzi cha Azam mnasema startimes mara zuku ni bora kuliko Azam. Sasa wenzako tupo mubashara kabisa kuanzia carabao, laliga, Vodacom na Belgium mpaka Ndondo washenzi nyie.
EPL wanaonyesha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…