Mechi za VPL ya leo na Mtibwa na mechi zijazo Simba hawako serious

Mechi za VPL ya leo na Mtibwa na mechi zijazo Simba hawako serious

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Nadhani Simba hawako Serious, watu mna Mechi za maana kabisa hapa duniani, mnacheza mechi za VPL zilizojaa watu wenye roho mbaya wanatuombea mabaya kila siku, wanawapokea wapinzani wetu wa nje na kuwapa kila mbinu.

Leo Simba ina mechi muhimu kabisa mwezi mmoja tu baadae mnakuja kuwachezesha wote muhimu wa kikosi Cha kimataifa kabisa Wala hamuogopi maadui wetu wa ndani wanaweza kuwahujumu kwa faida ya wageni wao wanaobadilisha kila siku.

Mara leo As Vita, Mara kesho, El Mereik, Mara kwshokutwa Al Ahly.
Sasa watu Kama hao si wanaweza kuwaumiza watu wetu mahili kabisa?

Simba wana vikosi vingi bana na,wawe wanachezesha kikosi B.

Na siku wakikutana na wale Jamaa wachezeshe kikosi B, maana wale Jamaa sio watu.


mtani wako mpe maneno ya kuudhi.
 
Roho mbaya hazijengi mzee zitaishia kupanga tui!!
 
Umeongea ukweli mtupu ni unyanyasaji Simba kuchezesha full Ngwamba kwa timu kama Mtibwa ama Yanga.
Kikosi "B" kinatosha sana kuwatia adabu ya magoli hizi timu za ndani.
Ni kweli Mkuu hasa tukikutana na wale jamaa zetu wa madimbwini wataishia kuwaumiza tu vijana wetu kwa wivu tu,yaani bila sababu.
Ha ha haa.mashabiki wenyewe wanaona wivu kila siku kutuombea mabaya halafu tunavuka.
 
Ha
Umeichimba simba mpaka umeishiwa! Pole! Simba inapepea!
Hapana mkuu,napinga Simba kuchezeshwa na Vilabu vidogo.
Halafu Simba wenyewe walivyo hawana hofu na umuhimu wa mechi muhimu za CAF wanavipangia vitimu vidogo likikosi la maangamizi wewe unategemea Nini?
Halafu je wakituumizia vijana wetu.

Washauri Simba wawe wanaweka Vichipukizi wakicheza VPL bana.
 
Back
Top Bottom