Mechi za Yanga zichunguzwe, haiwezekani wanashinda mechi kirahisi namna hii

Mechi za Yanga zichunguzwe, haiwezekani wanashinda mechi kirahisi namna hii

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tukitaka kukuza soka la Tanzania tunapaswa kucheza na kushinda kwa haki .

Hii game ya Mtibwa vs Yanga ni kama ya kimchongo kabisa yaani , magoli yaliyofungwa mbona ni laini sana! inakuwaje Mtibwa wanacheza wao lakini wanafungwa kizembe vile?

Kuna haja ya kuchunguza kama kulikuwa na maelewano ya nje ya Uwanja kati ya timu hizi mbili au La

Naomba kuwasilisha.
 
Tukitaka kukuza soka la Tanzania tunapaswa kucheza na kushinda kwa haki .

Hii game ya Mtibwa vs Yanga ni kama ya kimchongo kabisa yaani , magoli yaliyofungwa mbona ni laini sana ! inakuwaje Mtibwa wanacheza wao lakini wanafungwa kizembe vile ?

Kuna haja ya kuchunguza kama kulikuwa na maelewano ya nje ya Uwanja kati ya timu hizi mbili .

Naomba kuwasilisha .
Leo nimekukataa baada ya kukukubali miaka yote Jf.

Chezeni mechi zenu acheni Yanga wacheze zao
 
Unajua mlichofanya kutembeza vibahasha kwa baadhi ya wachezaji na viongozi wa mtibwa
 
UTOPOLO MNAJAZBA SANA.
Mtoa mada anatoa analysis ya kile alichokiona uwanjani na ameeleza vizuri tu ila nyie ndie wenye shida. Yaani leo uto umtishe mtu wa Simba, kweli? Kwanza uto ni mdudu tu kwetu kwa mabingwa mara 4 mfululizo na wawakilishi pekee CAF
 
Nilikuwa mtu wa kwanza kupinga udhamini wa GSM , na niliweka uzi wa kwanza kabisa kuhusu hilo hapa jf , nilitukanwa mno ! Lakini leo udhamini wa GSM uko wapi ? sijawahi kukurupuka
Mama yuko nje Baba yuko nyumbani kutembeza mkong'oto kwa watoto
 
Back
Top Bottom