Kauli ya chama dola we mpingaji huna kauli hiyo au umeunga juhudi?Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko
Yanga ikishinda mnaibua mjadala wa bahasha ya kakiNaunga hoja
Kumbe una chuki binafsi na GSM.. ! acha kuleta siasa kwenye mpiraNilikuwa mtu wa kwanza kupinga udhamini wa GSM , na niliweka uzi wa kwanza kabisa kuhusu hilo hapa jf , nilitukanwa mno ! Lakini leo udhamini wa GSM uko wapi ? sijawahi kukurupuka
Wameuza wachezaji wenu Ame na Ndemla haha haha inauma eeehMtibwa kauza mechi, tff fanyeni uchunguzi
Ww Libeva nimeangalia mpira? Mtibwa hawajacheza mpira wa ushindani labda kwa kuwa maji hayakuwepoFicha upumbavu wako, onyesha hekima na busara zako.
Haha kweli amepuyangaNAFIKIRI mtoa POSt mpaka Sasa ushagundua kua ulichoki post ni ujinga na hakiendan na ww YAAN ni 0.0 Sasa futa alf achaga kupost mpk pale utakapohitimu masomo ya namna ya kutumia Jf usiwe mtu wa zero Brain YAAN 0.0[emoji3581]
Haha kwani ndemla na kihimbwa awakuwepo? chezea Khalid Aucho wewe!Ww Libeva nimeangalia mpira? Mtibwa hawajacheza mpira wa ushindani labda kwa kuwa maji hayakuwepo
Hoja hupingwa kwa hoja , matusi hayatasaidia kitu , zipo juhudi fulani zisizo rasmi za kupinga sisi wanasiasa kuandika kwenye majukwaa mengine , hilo halikubaliki , nipingeni kwa hoja , nilipohoji udhamini wa GSM , Kila mjinga alinishangaa , lakini mkataba ule uko wapi leo ?NAFIKIRI mtoa POSt mpaka Sasa ushagundua kua ulichoki post ni ujinga na hakiendan na ww YAAN ni 0.0 Sasa futa alf achaga kupost mpk pale utakapohitimu masomo ya namna ya kutumia Jf usiwe mtu wa zero Brain YAAN 0.0[emoji3581]
Sina chuki nao hata chembe , lakini niliutilia shaka udhamini waoKumbe una chuki binafsi na GSM.. ! acha kuleta siasa kwenye mpira
Huwa nakuheshimu lile gruop lako la siasa...uku utanifanya nikudharau sasa,umekosa hoja mzee😂😂...thread gani hii umeleta uku sasa??.Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko
Jibu hoja mjombaHuwa nakuheshimu lile gruop lako la siasa...uku utanifanya nikudharau sasa,umekosa hoja mzee[emoji23][emoji23]...thread gani hii umeleta uku sasa??.
Haha msamehe tuHuwa nakuheshimu lile gruop lako la siasa...uku utanifanya nikudharau sasa,umekosa hoja mzee thread gani hii umeleta uku sasa??.
Umeona ukweli kabisa magoli ya mchongo yote, haki yao if they paid for, kila mtu ashinde mechi zakeTukitaka kukuza soka la Tanzania tunapaswa kucheza na kushinda kwa haki .
Hii game ya Mtibwa vs Yanga ni kama ya kimchongo kabisa yaani , magoli yaliyofungwa mbona ni laini sana ! inakuwaje Mtibwa wanacheza wao lakini wanafungwa kizembe vile ?
Kuna haja ya kuchunguza kama kulikuwa na maelewano ya nje ya Uwanja kati ya timu hizi mbili .
Naomba kuwasilisha .
Haha anataka kusema yale magoli aliyokosa Nkane alifanya makusudi.Tatizo ni kwamba hii mechi watu wa Simba mlikuwa na matokeo yenu mfukoni. Kivipi unahoji magoli mepesi wakati mpira wa miguu ni mchezo wa makosa?