Mechi za Yanga zichunguzwe, haiwezekani wanashinda mechi kirahisi namna hii

Maumivu ya kichwa huanza polepole
 
Ww Libeva nimeangalia mpira? Mtibwa hawajacheza mpira wa ushindani labda kwa kuwa maji hayakuwepo
Wamepoteana kutokana na timu wenye uwezo mkubwa kuliko wao, wanashukuru Mungu hawajala mkono, mpira wa papatu papatu huwa anacheza na Mikia wakikutana
 
Nawasubiri sana tena hadi naona kuchelewa ninahasira sana na vyura
 
Magoli ya michongo hayo subiri wakutane na michongoma
 
Wachunguze na mechi ya Azam na Biashara haiwezekani Azam washindwe kizembe vile
 
Sasa mkuu mbona hakuna hoja hapo zaidi ya tuhuma zisizo na ushahidi ambazo Kwa ilivyo unaonekana ni uzishi au propaganda chafu.
 
Kwahiyo ile siku nyinyi mliuza mechi kwa mbeya city na kagera?? Mlizoea kuiba ndo maana mnaona yanga anaiba pia. Mpira vipindi vyote yanga kamiliki mpira sasa hoja yako kwamba mtibwa kacheza yeye mpira akafungwa unatoa wapi??

Wewe bado mchanga sana kwenye tasinia ya mpira wa miguu.
 
NAFIKIRI mtoa POSt mpaka Sasa ushagundua kua ulichoki post ni ujinga na hakiendan na ww YAAN ni 0.0 Sasa futa alf achaga kupost mpk pale utakapohitimu masomo ya namna ya kutumia Jf usiwe mtu wa zero Brain YAAN 0.0[emoji3581]
Mechi za Kimataifa zitaleta uhalisia
 
Kuna kitu kinaendelea katika timu ya Yanga hawa lazima wananunua mechi haiwezekani. Angalia timu zinazocheza na Simba utadhani ni fainali.
 
Mtibwa ni timu ya chama kama ilivyo kwa channel ten, itakuwa ilitolewa amri tu, kuwa waachiwe washinde, siunajua ubingwa safari hii unatafutwa kwa njia yoyote ile ili mradi ubingwa upatikane.
 
Kuna tatizo pahala, inaonesha ukiwa chadema na mpenzi wa Simba, ni kama unakuwa punguani! Ona wote wapenzi wa Simba na Chadema hapa JF walivyo wapuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…