King Gaddafi
New Member
- Jan 1, 2024
- 2
- 10
Je, akikutana Afisa wa JWTZ mwenye nyota tatu (3) na Afisa wa polisi mwenye nyota tatu (3), nani atatakiwa kumpigia mwenzake Saluti na kwa vigezo vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimsingi wanajeshi wanaweza kutangaza hali ya hatari na pua la yeyote lisitokeze nje uwe na nyota 3 ukionwa during that time unakula kichuraWenyewe wanajua kipi wanapaswa kufanya pindi wanapokutana maana kwa majukumu yao hukutana mara kadhaa kwenye shughuli za ujenzi wa Taifa.
Swali, je, wewe unataka kujua ili iweje? Kwanza una uraia wa nchi gani?
Jiulize wanajeshi wenye vyeo sawa au polisi wenye vyeo sawa ni yupi anakiwa kupiga salute kwa mwenzake?Je, akikutana Afisa wa JWTZ mwenye nyota tatu (3) na Afisa wa polisi mwenye nyota tatu (3), nani atatakiwa kumpigia mwenzake Saluti na kwa vigezo vipi?
Maua yako 🌹Kwa kawaida, saluti hupigwa kwa kuzingatia cheo, bila kujali taasisi. Kuna sheria na kanuni za kijeshi Kwa ujumla, katika hali nyingi, Afisa wa Polisi ndiye atakayempigia saluti Afisa wa JWTZ. Hii ni kwa sababu yq kutambua ukubwa wa jeshi la wananchi.
Zile bakabaka zimebeba sare ya majeshi yote mfano; jeshi la polisi, uhamiaji, magereza nk. Kwaiyo kiprotocal huyo jamaa wa polisi inabidi aangushe saluti tu.
Japo mazingirq pia yanaweza kusababisha afisa wa jw kumpigia salute huyo mwenye cheo kama chake iwapo atamkuta kwenye eneo lake la kazi.
Wa polisi, why, JWTZ anakuwa commisioned na rais, while police anakuwa commisioned na waziriJe, akikutana Afisa wa JWTZ mwenye nyota tatu (3) na Afisa wa polisi mwenye nyota tatu (3), nani atatakiwa kumpigia mwenzake Saluti na kwa vigezo vipi?
RC sio mtu mdogo. Equivalent yake ni waziri.Kuna yule aliyewahi kuwa mkuu wa jkt halafu akatupwa mkuu wa mkoa Kagera sasa sijajua ni kukomoana ama nini.
Hapana hapa nayaleta majukumu yake kwa RPC unaonaje? Yaani kiitifaki yeye ndio m/kiti wa ulinzi na usalama mkoa?RC sio mtu mdogo. Equivalent yake ni waziri.
TISS ni jeshi?Endapo maofisa wa majeshi tofauti wenye cheo kimoja (equivalent) wakakutana, busara hutumika zaidi. Seniority itazingatia jeshi la ofisa husika. Officer anayetoka jeshi junior basi ataanza kumsalute officer anayetoka jeshi senior., kwa mpangilio wa
Jwtz
Police
TISS
Magereza
Fire
Uhamiaji
Ni kikundi cha wambeaTISS ni jeshi?
Ni Idara ya usalama ambayo si jeshi, lakini hufanya mission mbalimbali kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi. Na maafisa wake hupewa heshima ya kijeshiTISS ni jeshi?
Askari Polisi mwenye Cheo Cha Afisa atasalimiwa kwa heshima ya salute pale Askari jeshi au Afisa aliye chini yake akiwa na shida ya msaada wa kipolisi tu 😂 Nevertheless Senior ni senior tu kumjua sasa ndio haipotezwi muda.
Jibu limekaa vizuri hope wameelewaPolisi mwenye Cheo Cha Afisa atasalimiwa kwa heshima ya salute pale Askari jeshi au Afisa aliye chini yake akiwa na shida ya msaada wa kipolisi tu 😂 Nevertheless Senior ni senior tu kumjua sasa ndio haipotezwi muda.
Form two jamvini wakisubiri matokeo wanasumbua hadi huku.Je, akikutana Afisa wa JWTZ mwenye nyota tatu (3) na Afisa wa polisi mwenye nyota tatu (3), nani atatakiwa kumpigia mwenzake Saluti na kwa vigezo vipi?
Wote watapigiana saluti.Je, akikutana Afisa wa JWTZ mwenye nyota tatu (3) na Afisa wa polisi mwenye nyota tatu (3), nani atatakiwa kumpigia mwenzake Saluti na kwa vigezo vipi?