Media ndio zimeisusa corona?

Media ndio zimeisusa corona?

al-baajun

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2015
Posts
283
Reaction score
209
Ukiachana na media za tanzania,hata media za nje ya nchi pia habari kuhusu corona zimepotezewa na sio dili tena?je corona imeisha?
 
Ukiachana na media za tanzania,hata media za nje ya nchi pia habari kuhusu corona zimepotezewa na sio dili tena?je corona imeisha?
Watu wa kwanza kabisa kufanya kitu hiki walikuwa ni JPM na Mbowe. Baada ya Corona kushika kasi, Mbowe naye aliibuka na kutangaza kuanza kwa mikutano yake ya Siasa. Baada ya hapo akazua mjadala na mimi nikasema humu jukwaani kuwa niko upande wa Mbowe kwa sababu YAWEZEKANA Mungu amemtumia naye kutoa prediction ya ukomo wa Corona. Na kweli Corona haijaenda mbali, na ni kweli kwamba kati ya watu ambao Mungu aliamua kuwatumia kutoa prediction ya ukomo wa Corona, mmoja wao ni Mbowe! Kwa hili mimi binafsi, naye ninampa pongezi nyingi sana kwa mafunuo yake hayo ya kiroho. Unajua Mungu huwa anaweza akatumia mtu au kitu chochote na kwa swala hili la Corona, wanasiasa nao pia amewatumia kwa kiwango kikubwa sana, utafikiri nao ni watumishi wa Mungu kwenye nyumba za Ibada!
 
Corona ilikuwa ni pyramid scheme tu ... Imagine huko USA Watu wana andamana bila hata kuvaa barakoa lakini hawafi kwa maambukizi ya corona

Hivi mlikuwa bado hamjashtuka tu
 
COVID 19
Haipo
Tusitishane Bure Tuchape Kazi
 
Ukiachana na media za tanzania,hata media za nje ya nchi pia habari kuhusu corona zimepotezewa na sio dili tena?je corona imeisha?
Serikali ya #Brazil imesitisha kutoa takwimu za vifo vitokanavyo na #COVIDー19, hatua ambayo wakosoaji wamesema inalenga kuficha ukweli wa athari za ugonjwa huo. Aidha, taifa hilo limesema litatoa takwimu za visa vipya kwa siku, na si takwimu za jumla ya waathirika wote. https://t.co/Yw5epGgrc4
 
Iyo ni kawaida. Magunjwa yote ya mlipuko hufika peak na baadaye kusaulika. Ila swala la media kupuuza i think unaongelea media za Tz. Ikiingia BBC, CNN, sky news, aljzera... yani kila nndani ya dakika 10 lazima covid 19 waitaje
 
Back
Top Bottom