Media tour ya Mbosso sijaielewa kabisaa

Media tour ya Mbosso sijaielewa kabisaa

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Jamaa anafanya tour kwenye redio zisizo na nguvu kabisa tena vya mikoani kabla hata za Dar esa salaaam hajazimaliza mara abood fm rasi fm maisha fm tatizo ni nini hivo ivi redio havina impact kabisa kwenye industry mimi nilitegemea angeaza na clouds, efm rfa kissfm ea radio

Kwa style hii jamaa naona zile ndoto za kumfunika aslay zinafifia
 
Jamaa anafanya tour kwenye redio ziszo na nguvu kabisa tena vya mikoani kabla hata z dsm hajazimaliza mara abood fm rasi fm maisha fm
Tatizo ni nini hivo vi redio havina impact kabisa kwenye industry mimi nilitegemea angeaza na clouds, efm rfa kissfm ea radio
Kwa style hii jamaa naona zile ndoto za kumfunika aslay zinafifia
kwani yeye mboso alikuambia anataka kumfunika Asaly
 
Jamaa anafanya tour kwenye redio ziszo na nguvu kabisa tena vya mikoani kabla hata z dsm hajazimaliza mara abood fm rasi fm maisha fm
Tatizo ni nini hivo vi redio havina impact kabisa kwenye industry mimi nilitegemea angeaza na clouds, efm rfa kissfm ea radio
Kwa style hii jamaa naona zile ndoto za kumfunika aslay zinafifia
Wewe mwenye ndoto ya kumfunika Aslay katambulishe wimbo wako Klauds
 
Nadhani kaanza kwanza kwenda huko halafu baadae atarudi Kumalizia hapa Bongo Daslam
 
Kaangalie instagram ya Salam K utaona povu lake kwa Ruge anadai Ruge anataka kumshusha Diamond. Kuna kaugomvi ka chini kwa chini kati ya wcb na clouds media. Ukiangalia tukio la Mose Iyobo kuwapiga shilawadu halafu akaalikwa kupongezwa kwa Makonda ni dalili kwamba Bashite ndo engineer wa hiyo kitu akishirikiana na wcb .

Pia wasafi wanataka kufungua radio na tv yao ( nasikia Bashite yupo nyuma ya hili) .Kumbuka ugomvi wa Bashite na Ruge bado haujaisha .Ruge anaokolewa tu na Magu, siku Magu akitoa go ahead kwa Bashite kumnyoosha Ruge ,jamaa atakimbilia Bukoba.

Vituo vingine kama Eatv au ippmedi yote wasafi wamevidharau huwa hawaendi kwenye interview wala kuzindua nyimbo zao ,ndo maana nao hawapigi nyimbo zao.

Efm sinauhakika ,zaidi ya Mazijo kushare Hamisa na Dimond kama wana beef jingine ,ila maramoja moja huwa wanacheza nyimbo za wasafi
 
Kaangalie instagram ya Salam K utaona povu lake kwa Ruge anadai Ruge anataka kumshusha Diamond. Kuna kaugomvi ka chini kwa chini kati ya wcb na clouds media. Ukiangalia tukio la Mose Iyobo kuwapiga shilawadu halafu akaalikwa kupongezwa kwa Makonda ni dalili kwamba Bashite ndo engineer wa hiyo kitu akishirikiana na wcb .

Pia wasafi wanataka kufungua radio na tv yao ( nasikia Bashite yupo nyuma ya hili) .Kumbuka ugomvi wa Bashite na Ruge bado haujaisha .Ruge anaokolewa tu na Magu, siku Magu akitoa go ahead kwa Bashite kumnyoosha Ruge ,jamaa atakimbilia Bukoba.

Vituo vingine kama Eatv au ippmedi yote wasafi wamevidharau huwa hawaendi kwenye interview wala kuzindua nyimbo zao ,ndo maana nao hawapigi nyimbo zao.

Efm sinauhakika ,zaidi ya Mazijo kushare Hamisa na Dimond kama wana beef jingine ,ila maramoja moja huwa wanacheza nyimbo za wasafi
Nice sana blood ilaah ruge anazingua na huu ndo mwisho wakee
 
Nice sana blood ilaah ruge anazingua na huu ndo mwisho wakee
Ruge na shigongo ndio watu waliomfanya Diamond awe alipo sasa kama wewe ni mfuatiliaji wa muziki hilo utakuwa unalipata vema ruge ndiyo alikuwa anamiandalia Diamond vitu vya tofauti kama show ya Diamond forever, connection za kuimba BBA , kipindi kile tale alikuwa meneja kivuli mtumikakati alikuwa ni ruge. Upande wa ahigongo kumbuka alivyokuwa anaandaa show dar live huku akizipa promo mwezi mzima na kumpa jamaa offer mara kuingia uwanjan na helcopter mara lift ukumbini

Sema nini dogo baada ya kurubuniwa na mako ndipo shida ilipoanza
 
Ruge na shigongo ndio watu waliomfanya Diamond awe alipo sasa kama wewe ni mfuatiliaji wa muziki hilo utakuwa unalipata vema ruge ndiyo alikuwa anamiandalia Diamond vitu vya tofauti kama show ya Diamond forever, connection za kuimba BBA , kipindi kile tale alikuwa meneja kivuli mtumikakati alikuwa ni ruge. Upande wa ahigongo kumbuka alivyokuwa anaandaa show dar live huku akizipa promo mwezi mzima na kumpa jamaa offer mara kuingia uwanjan na helcopter mara lift ukumbini

Sema nini dogo baada ya kurubuniwa na mako ndipo shida ilipoanza
Ruge kwanini hizo show hakuwaandalia watu wake wakina Barnaba, Amin, Ditto? Jiulize kidogo basi....
 
Ruge na shigongo ndio watu waliomfanya Diamond awe alipo sasa kama wewe ni mfuatiliaji wa muziki hilo utakuwa unalipata vema ruge ndiyo alikuwa anamiandalia Diamond vitu vya tofauti kama show ya Diamond forever, connection za kuimba BBA , kipindi kile tale alikuwa meneja kivuli mtumikakati alikuwa ni ruge. Upande wa ahigongo kumbuka alivyokuwa anaandaa show dar live huku akizipa promo mwezi mzima na kumpa jamaa offer mara kuingia uwanjan na helcopter mara lift ukumbini

Sema nini dogo baada ya kurubuniwa na mako ndipo shida ilipoanza

alafu suala ni kwamba mtu anavyozidi kutoboa ndio hadhi yake inazidi kupande hata payment inabidi iwe tofauti sasa wao walitaka kumkandamiza jamaa kisa walimtoa so jamaa kawakataaa then wanaona ni dharau
 
Kaangalie instagram ya Salam K utaona povu lake kwa Ruge anadai Ruge anataka kumshusha Diamond. Kuna kaugomvi ka chini kwa chini kati ya wcb na clouds media. Ukiangalia tukio la Mose Iyobo kuwapiga shilawadu halafu akaalikwa kupongezwa kwa Makonda ni dalili kwamba Bashite ndo engineer wa hiyo kitu akishirikiana na wcb .

Pia wasafi wanataka kufungua radio na tv yao ( nasikia Bashite yupo nyuma ya hili) .Kumbuka ugomvi wa Bashite na Ruge bado haujaisha .Ruge anaokolewa tu na Magu, siku Magu akitoa go ahead kwa Bashite kumnyoosha Ruge ,jamaa atakimbilia Bukoba.

Vituo vingine kama Eatv au ippmedi yote wasafi wamevidharau huwa hawaendi kwenye interview wala kuzindua nyimbo zao ,ndo maana nao hawapigi nyimbo zao.

Efm sinauhakika ,zaidi ya Mazijo kushare Hamisa na Dimond kama wana beef jingine ,ila maramoja moja huwa wanacheza nyimbo za wasafi
Mange amesema!
 
Kaangalie instagram ya Salam K utaona povu lake kwa Ruge anadai Ruge anataka kumshusha Diamond. Kuna kaugomvi ka chini kwa chini kati ya wcb na clouds media. Ukiangalia tukio la Mose Iyobo kuwapiga shilawadu halafu akaalikwa kupongezwa kwa Makonda ni dalili kwamba Bashite ndo engineer wa hiyo kitu akishirikiana na wcb .

Pia wasafi wanataka kufungua radio na tv yao ( nasikia Bashite yupo nyuma ya hili) .Kumbuka ugomvi wa Bashite na Ruge bado haujaisha .Ruge anaokolewa tu na Magu, siku Magu akitoa go ahead kwa Bashite kumnyoosha Ruge ,jamaa atakimbilia Bukoba.

Vituo vingine kama Eatv au ippmedi yote wasafi wamevidharau huwa hawaendi kwenye interview wala kuzindua nyimbo zao ,ndo maana nao hawapigi nyimbo zao.

Efm sinauhakika ,zaidi ya Mazijo kushare Hamisa na Dimond kama wana beef jingine ,ila maramoja moja huwa wanacheza nyimbo za wasafi
Habari ndiyo hiyo
 
Back
Top Bottom