Media za bongo hovyo kabisa yaani zinashirikiana na wanasiasa kutuharibia nchi na kutupumbaza

Media za bongo hovyo kabisa yaani zinashirikiana na wanasiasa kutuharibia nchi na kutupumbaza

Full charge

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2018
Posts
1,678
Reaction score
1,617
Clouds imeomba radhi kwa chapisho ambalo ilichapisha kuhusu rais ambapo kimsingi ni kweli.

Vyombo vya Tanzania vimejaa unafiki mtupu wala havina msada wakufichuacmaovu zaidi ya kujikomba na kulamba miguu ya mabwanyenye.

Watanzania ni muda sasa wakuvikataa vyombo vyetu vya habari ili kama vinaweza vihamie serikalini au vijiendeshe bila hadhira yetu,itoshe kusema kuwa hapa Tanzania hatuna media inayofanya kazi kwa uhuru zaidi ya kujaa mashoga wauza dawa na wajinga.

Screenshot_20240621-080139_Instagram.jpg
 
Clouds imeomba radhi kwa chapisho ambalo ilichapisha kuhusu rais ambapo kimsingi ni kweli.

Vyombo vya Tanzania vimejaa unafiki mtupu wala havina msada wakufichuacmaovu zaidi ya kujikomba na kulamba miguu ya mabwanyenye.

Watanzania ni muda sasa wakuvikataa vyombo vyetu vya habari ili kama vinaweza vihamie serikalini au vijiendeshe bila hadhira yetu,itoshe kusema kuwa hapa Tanzania hatuna media inayofanya kazi kwa uhuru zaidi ya kujaa mashoga wauza dawa na wajinga.

Tz hatuna vyombo vya habari bali ni takataka tu ndio maana viko taabani.siku za nyuma nilikuwa nasoma sana magazeti kwa sijui mara ya mwisho ilikuwa lini.juzi nilimsikiliza Balile kwenye mahojiano yake na mtangazaji wa TBC Mramba ilibidi nihame chaneli hiyo.
 
Back
Top Bottom