Kenya 2022 Media za Kenya mnatisha kuhusu uchaguzi mkuu Agosti 2022

Kenya 2022 Media za Kenya mnatisha kuhusu uchaguzi mkuu Agosti 2022

Kenya 2022 General Election

ushashi

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2016
Posts
375
Reaction score
518
Nimekuwa nikifatilia kampeni za uchaguzi nchini Kenya kwenye vyombo vya habari vya Kenya Kwa muda mrefu sasa. Hawa jamaa wanaupiga mwingi.

Wachambuzi na waandishi wao wako deep in knowing what they say, wanafanya analysis za viwango vya juu, wanachambua issue Kwa kina, hawadokezi tu, they go into details, yaani it's owesome and excellent.
Kwa mfano Jana kwenye manifesto launch ya Kenya kwanza na roots party, show zote zilikuwa live on one TV , hakuna upendeleo Wala ubaguzi, kilichonishangaza Kwa mfano citizen TV walifatengeneza a very composed summary ambapo hata kama mtu hakuwa akifatilia tukio live anapata kuelewa Nini kimetokea na Nini kimeongelewa.

Hii kitu ni tofauti sana na Tanzania ambapo vyombo vya habari almost 90% wanaripot habari za ccm na serikali yake tu.Ni kupongeza tu hakuna critical idea Or thinking outside the box.

Technically vyombo vya habari vya Kenya sijui niseme wanatumia Nini kureport taarifa zao....yaani it's very exciting to watch. Kwa mfano when it comes to statistics hawa jamaa watatoa excell sheet with nambers not just blaa blaa words from mtangazaji.

Tuache wivu ni AZAM TV pekee na Mpira wao ndo wanaweza kutuwakilisha on international standards lakini hizi zingine zijifunze kutoka Kenya na sio dhambi.

Ndo maana hata matangazo ya biashara ni mengi mno Kwa media za Kenya tofauti na za hapa bongo Kwa mfano star tv....nani atakuletea tangazo la biashara yake Kwa viwango duni vya hahari mnazorusha prime time?

Kwa Leo naishia hapa.Tuache wivu tujifunze.
 
Sasa kama mipumbavu ndo imekalia uogozi ktk media unafikiri kuna maajabu itafanya yataendelea kutangaza upuuzi tu ndo maana sina mda wa kuangalia ujinga wao ni bora hata ukaangalia movie sio maujinga yao yatakuchefua roho tu kwa kusifia kila kitu ...[emoji88][emoji88]
 
Kuna siku nilikua naangalia clouds kipindi gani cha kina kipanya asubuhi ile.

Sasa wakati wanasoma maoni, yale ya kusifia wanachukua hata dakika 5 wanasifia kitu kimoja, ila yale matatizo ya wananchi kwanza hawaaamini kama yapo watapingana vikali hapo kua hiyo kitu haiwezekani, mfano kuna mdau alisema huko katani kwao watoto wanalazimika kutembea km 20 kuifata shule wakabisha vikali wote 3, wakimtaka aliesema hivo athibitishe coz mama anaupiga mwingi saivi😀😀.

Zile habari za kuonesha mapungufu hamna kabisa, na kuna jamaa akacomment pia kuhusu ufafanuzi juu ya wabunge wale 19 almaarufu covid 19, aisee jamaa waliipotezea hiyo habari kama hawajaisikia vile.

Ni bora kuweka wasafi, tv e usikilize mziki kuliko habari za hapa kwetu, na hawa wachambuzi makada wa chama tawala.
 
Bongo watu wetu wa Media ni vilaza watupu..Mabosi uchwara wanawarukia kwa sababu ni cheap labour.
Wanahabari wa bongo ni machawa wanatafuta kulambishwa asali
 
Tena bora miaka ya nyuma kdg ila kipindi cha Magu ndo ilikuwa balaa zaidi!

Ni kama ilikuwa marufuku kutangaza chochote/popote kinachohusu upinzani!
Wacha uongo mbona sasa hata jina la nyerere na hotuba zake zimepigwa marufuku ...kipindi cha JPM mtu mzalendo hakuzuiwa kusema wala kukosoa isipokuwa wanafiki ...sasa hivi kila MZALENDO NI ADUI WA SA100 KWA SABABU ...UZALENDO KWA SA100 NI MAFII
 
Kuna siku nilikua naangalia clouds kipindi gani cha kina kipanya asubuhi ile.
Sasa wakati wanasoma maoni, yale ya kusifia wanachukua hata dakika 5 wanasifia kitu kimoja, ila yale matatizo ya wananchi kwanza hawaaamini kama yapo watapingana vikali hapo kua hiyo kitu haiwezekani, mfano kuna mdau alisema huko katani kwao watoto wanalazimika kutembea km 20 kuifata shule wakabisha vikali wote 3, wakimtaka aliesema hivo athibitishe coz mama anaupiga mwingi saivi[emoji3][emoji3].

Zile habari za kuonesha mapungufu hamna kabisa, na kuna jamaa akacomment pia kuhusu ufafanuzi juu ya wabunge wale 19 almaarufu covid 19, aisee jamaa waliipotezea hiyo habari kama hawajaisikia vile.

Ni bora kuweka wasafi, tv e usikilize mziki kuliko habari za hapa kwetu, na hawa wachambuzi makada wa chama tawala.
[emoji1787][emoji1787]wakati wa JPM WATU WASIO WAZALENDO WALIZIBITIWA KIKAMILIFU KUFUNGUA MIDOMO YAO MICHAFU ...ILA KWA SASA WATU WALIO WAZALENDO NDIYO WANAZIBITIWA KUFUNGUA MIDOMO NA WASIO WAZALENDO WAMERUHUSIWA KUFUNGUA MIDOMO YAO MICHAFU INAYOTOA HARUFU CHAFU HADI NCHI INANUKA UVUNDO
 
Hii nchi huwa na sema kama imelaaniwa vile asee..upuuzi ndio unaopewa kiki..na vitu vya msingi ndio vinavyopigwa marufuku.

Ukihoji na kuleta hoja tofauti na kuupiga mwingi kwa sa100 unaonekana sio mtanzania.

Yani media hua zina lazimisha watu wamsifu sa100 hata kwa vitu visivyo na mantik kabisa.

Kuna shida kubwa nchi hii kubwa sana...na chanzo ni kijani jawa watu wameitia unajisi hii nchi.

Media nazo wamejaa makanjanja tu wahuni wahuni wasio na ethics shenzi kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sema wanasiasa wa kenya wameanza kuwa wapumbavu kama Hawa watanzania kwetu majuzi niliona lutto anasema internet itakuwa bure kipindi chake nikaona hizi ni stori za kibwege bwege za wanasiasa wa tanzania
 
Back
Top Bottom