Media za nchi hii upande wa habari za michezo kuna udhaifu mkubwa sana ina nchi hii kuna timu tatu tu!

Media za nchi hii upande wa habari za michezo kuna udhaifu mkubwa sana ina nchi hii kuna timu tatu tu!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Tangu dirisha la usajili lifunguliwe tunasikia simba,yanga na azam hatusikii vilabu vingine vinafanya nini wala vinajiandaje huko mikoani.

Wachambuzi wote simba na yanga mpaka habari zinachosha na marudio ya kila siku, tunataka kusikia Coastal, pamba, Tabora, Namungo na kadhalika wamesajili nini na mtuchambulie.

Tunajua mnaiga toka media za nje lakini hao sky sports, BBC bbc sport na nyinginezo hawajikiti arsenal na manchester united tu. Wao hutangaza timu zote mpaka daraja la mwisho na hufanya uchambuzi bila ushabiki wala upendeleo.

Tofauti na hizi media za kidwanzi na watangazaji wa kidwanzi.

Kifupi wabadilike mpira haupo simba na yanga tu.
 
Tangu dirisha la usajili lifunguliwe tunasikia simba,yanga na azam hatusikii vilabu vingine vinafanya nini wala vinajiandaje huko mikoani...
Media house za nchi hi zimeja uchawa mtupu kwa kila tasinia.....Redio hazina content maudhui zaidi ya kutaja taja jina la Raisi.
 
Media house za nchi hi zimeja uchawa mtupu kwa kila tasinia.....Redio hazina content maudhui zaidi ya kutaja taja jina la Raisi.
Wanazingua kila inayoanzishwa tunajua labda inaweza kubadilika kuja namageuzi bado wana udwanzi tu wa kununuliwa bundle!
 
Wanazingua kila inayoanzishwa tunajua labda inaweza kubadilika kuja namageuzi bado wana udwanzi tu wa kununuliwa bundle!
Kugeuza media house za hi nchi sio leo au kesho kwasbb wengi hawako professional wanatumia uzoefu na hisia zao kutanganza zile ethics za professional hawana kabisa, mfano nchi ina timu za premier 20 ila airtime na transfer news zinapewa timu mbili au tatu tu.
 
Kugeuza media house za hi nchi sio leo au kesho kwasbb wengi hawako professional wanatumia uzoefu na hisia zao kutanganza zile ethics za professional hawana kabisa, mfano nchi ina timu za premier 20 ila airtime na transfer news zinapewa timu mbili au tatu tu, .........
Aibu sana kwa kweli!
 
Hapa English league Kuna tuzo Moja inatolewa na wanahabari hasa za michezo kwa mchezaji wao Bora na aliekua na ushawishi hasa kwenye vichwa vya habari ndani ya msimu husika.

Hapa kwetu kama wangefanya hili nadhani tungeshudia tunzo zikienda mahala ambapo sio sahihi kabsa.

Duniani huko wenzetu wameendelea sana kiasi kwamba Tasnia ya habari ni Moja kat ya vitu vinavyofatiliwa hasa Michezo.
 
Tangu dirisha la usajili lifunguliwe tunasikia simba,yanga na azam hatusikii vilabu vingine vinafanya nini wala vinajiandaje huko mikoani.

Wachambuzi wote simba na yanga mpaka habari zinachosha na marudio ya kila siku, tunataka kusikia Coastal, pamba, Tabora, Namungo na kadhalika wamesajili nini na mtuchambulie.

Tunajua mnaiga toka media za nje lakini hao sky sports ,bbc sport na nyinginezo hawajikiti arsenal na manchester united tu. Wao hutangaza timu zote mpaka daraja la mwisho na hufanya uchambuzi bila ushabiki wala upendeleo.

Tofauti na hizi media za kidwanzi na watangazaji wa kidwanzi.

Kifupi wabadilike mpira haupo simba na yanga tu.
Unawapendelea Sana waandishi. Ni habari gani wanafanya vizuri ukiàcha michezo?
Kisiasa machawa,
Kiuchumi Mbumbumbu,
Kijamii mburul,
Kiutalii fuata upepo,
Kisheria fa fa fa.
Habari za uchambuzi kaa la Moto kwao.
Ni habari zipi wako vizuri?
 
Unawapendelea Sana waandishi. Ni habari gani wanafanya vizuri ukiàcha michezo?
Kisiasa machawa,
Kiuchumi Mbumbumbu,
Kijamii mburul,
Kiutalii fuata upepo,
Kisheria fa fa fa.
Habari za uchambuzi kaa la Moto kwao.
Ni habari zipi wako vizuri?
niliposema media wote wamo humo ila kwa leo nimegusa upate wa michezo tu!
 
Hapa English league Kuna tuzo Moja inatolewa na wanahabari hasa za michezo kwa mchezaji wao Bora na aliekua na ushawishi hasa kwenye vichwa vya habari ndani ya msimu husika.

Hapa kwetu kama wangefanya hili nadhani tungeshudia tunzo zikienda mahala ambapo sio sahihi kabsa.

Duniani huko wenzetu wameendelea sana kiasi kwamba Tasnia ya habari ni Moja kat ya vitu vinavyofatiliwa hasa Michezo.
Uko sahihi kabisa!
 
Back
Top Bottom