Media Zimekuwa Zikidai Huyu Jamaa ni"Racist"!

Media Zimekuwa Zikidai Huyu Jamaa ni"Racist"!

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
9,971
Reaction score
13,608
FB_IMG_1594697678087.jpg
 
Huyo ni racist wakuzaliwa. Alijifunza uracist tangu mtoto. Baba yake alikuwa katika kikundi cha ku klux klan (kkk). Kikundi hicho kina hostoria ya kubagua na kuua wamarekani weusi. Racist anaweza kujificha kimaslahi na kibiashara. Racist hakatahi pesa ya mtu mweusi hata kama anamchukia.
 
Huyo ni racist wakuzaliwa. Alijifunza uracist tangu mtoto. Baba yake alikuwa katika kikundi cha ku klux klan (kkk). Kikundi hicho kina hostoria ya kubagua na kuua wamarekani weusi. Racist anaweza kujificha kimaslahi na kibiashara. Racist hakatahi pesa ya mtu mweusi hata kama anamchukia.
Na hiyo picha ni katika dili zake za pesa, pesa unaitafuta mahali popote pale, Kama promoter wa Tyson, Tyson alikuwa mtaji wake.
 
Huyo ni racist wakuzaliwa. Alijifunza uracist tangu mtoto. Baba yake alikuwa katika kikundi cha ku klux klan (kkk). Kikundi hicho kina hostoria ya kubagua na kuua wamarekani weusi. Racist anaweza kujificha kimaslahi na kibiashara. Racist hakatahi pesa ya mtu mweusi hata kama anamchukia.
unaemzungumzia ni Joe bidden nadhani, maana zipo mpk picha zake amepiga na yule aliyekua kiongozi wa 3k kikundi cha ubaguzi.......
 
Kuna mmoja hawapendi Chadem asilani lakini ana jinasibu kuwa maendeleo hayana chama.
 
Huyo ni racist wakuzaliwa. Alijifunza uracist tangu mtoto. Baba yake alikuwa katika kikundi cha ku klux klan (kkk). Kikundi hicho kina hostoria ya kubagua na kuua wamarekani weusi. Racist anaweza kujificha kimaslahi na kibiashara. Racist hakatahi pesa ya mtu mweusi hata kama anamchukia.
Words
 
Back
Top Bottom