K KIJANA2013 JF-Expert Member Joined Jan 21, 2013 Posts 466 Reaction score 201 Apr 24, 2017 #1 Habari wana JF Naomba kufahamishwa tofauti zilizopo kati ya Dispensary, Medical Centre na Health Centre kulingana na sheria na taratibu za Nchi pamoja na Wizara ya Afya. Nawasilisha
Habari wana JF Naomba kufahamishwa tofauti zilizopo kati ya Dispensary, Medical Centre na Health Centre kulingana na sheria na taratibu za Nchi pamoja na Wizara ya Afya. Nawasilisha